Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ccm ni janga la kitaifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ni janga la kitaifa.
Hiyo ni Kazi ya serikali sio mbunge.Mbunge wa CCM Jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro, Mh. Saashisha Mague ,amefanya maajabu kwenye serikali ya awamu ya sita kwa kuwalipa vijana walioajiriwa ajira ya muda ya Postikodi Tsh 15,000 kwa siku badala ya Tsh 30,000 kwa siku kama ilivyopangwa nss as Serikali ya mama Samia.
Kituko cha pili Mbunge huyo Amewaambia vijana hao kuwa ajira hiyo ni ya muda wa siku 15 badala ya siku 30 kama ilivyoainishwa na serikali ili zoezi lifanyike kwa Uangalifu na kwa umakini mkubwa.
Vijana hao wameamua kufanya kazi hiyo bila ufanisi kutokana na kulipwa malipo tofauti na mpango wa serikali, ila siku ya jumamosi tarehe 19.3.2022 wataandamana kumpokea mwenyekiti wa chadema Taifa ambaye atahutubia Jimbo la Hai mjini ikiwa ni mara ya kwanza tangu atoke gerezani na watafikisha kilio hicho mbele yake kwa mabango.
Mkuu wa Wilaya ya Hai alivyotafutwa kuzungimzia malipo hayo na siku za kufanya kazi hakutaka kusema chochote bali alisema hausiki na zoezi hilo na hakushirikishwa .
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai, tulivyompigia simu ,kumuuliza kuhusu stahiki ya malipo kwa hao vijana wanaofsnys kazi kwa mkataba, kwa kila siku na muda wa kazi hadi kumalizika alisema yuko kwenye kikao.
Mbunge sio Serikali?Hiyo ni Kazi ya serikali sio mbunge.
Wewe unaona mbunge ni serikali?Mbunge sio Serikali?
Malipo sahihi yalipaswa kuwa Sh.Ngapi kwa Siku?Ili kupata ukweli wa jambo hili piga namba hii 0621-955-483 au 0623-988-579 au 0767-844-191 Jf sio mtandao wa Baddoo
Malipo sahhi yalipaswa kuwa Sh.Ngapi kwa Siku?
Kwa mwenendo huu wa bavicha kuiondoa ccm itachukua karneMalipo sahhi yalipaswa kuwa Sh.Ngapi kwa Siku?
Kwa mwenendo huu wa bavicha kuiondoa ccm itachukua karne
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Kama hawajitambui wafanyeje? Hali waliyonayo wameieleza hapa.Acheni hizo , mbunge anahusikaje na kuajiri na malipo, hao vijana nao hawajitambui
Kwanza wajue majukumu ya mbunge ni yapiKama hawajitambui wafanyeje? Hali waliyonayo wameieleza hapa.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauriHao vijana wanadhulumiwa, wanamjua mbunge wao wa ccm . Hawamjui mtu mwingine, tumuone nani?
Wacheni kuandika taatifa za kusambaza chuki bana ni lini umewahi sikia mbunge anahusika na mambo za postkodi ?? Kweli wewe ni mpumbavu kabisa. Na taarifa zako za kipuuzi sanaMbunge wa CCM Jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro, Mh. Saashisha Mague ,amefanya maajabu kwenye serikali ya awamu ya sita kwa kuwalipa vijana walioajiriwa ajira ya muda ya Postikodi Tsh 15,000 kwa siku badala ya Tsh 30,000 kwa siku kama ilivyopangwa nss as Serikali ya mama Samia.
Kituko cha pili Mbunge huyo Amewaambia vijana hao kuwa ajira hiyo ni ya muda wa siku 15 badala ya siku 45 kama ilivyoainishwa na serikali ili zoezi lifanyike kwa Uangalifu na kwa umakini mkubwa.
Vijana hao wameamua kufanya kazi hiyo bila ufanisi kutokana na kulipwa malipo tofauti na mpango wa serikali, ila siku ya jumamosi tarehe 19.3.2022 wataandamana kumpokea mwenyekiti wa chadema Taifa ambaye atahutubia Jimbo la Hai mjini ikiwa ni mara ya kwanza tangu atoke gerezani na watafikisha kilio hicho mbele yake kwa mabango.
Mkuu wa Wilaya ya Hai alivyotafutwa kuzungimzia malipo hayo na siku za kufanya kazi hakutaka kusema chochote bali alisema hausiki na zoezi hilo na hakushirikishwa .
Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Hai , Dionis Myinga alivyotwafutwa ofisini kwake palikuwa pamefungwa .
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai, tulivyompigia simu ,kumuuliza kuhusu stahiki ya malipo kwa hao vijana wanaofanya kazi kwa mkataba, kwa kila siku na muda wa kazi hadi kumalizika alisema yuko kwenye kikao.
Vijana hao wanakiomba Chama cha mapinduzi ngazi ya wilaya ,mkoa,Taifa kuingilia kati hatima ya malipo yao na siku za kufanya kazi hiyo kama ilivyopangwa na serikali ya CCM. Vijana wamekata tamaa iliyosababishwa na mtu mmoja au kikundi cha watu.
View attachment 2153339Mbunge wa Jimbo la Hai Mhe. Saashisha Mafuwe hongera sana kwa juhudi kubwa na nzr unazoendelea kuzifanya katika kuijenga Hai yetu. 🙏🏽