Pre GE2025 Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuchangia tayari kunafanywa, tena kwa kupitiliza kupitia utitiri wa tozo nyingi na kodi. Kuongeza tozo zingine juu ya zilizopo ni unyang'anyi na uporaji dhidi ya wananchi.

Wanaosema ccm imechoka wana hoja, wasikilizwe
Nimekwambia Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi,hicho unachoita utitiri wa tozo ndio hakijatosha kujenga Barabara.

Sasa tuache au tujuchange tena? Leta jibu
 
Ubwaa kabisa mbunge kilaza wa chama cha wezi....huwezi sikia wakiongelea posho zao kupungwa wao wako tu kupiga makofi
 
Wafanye utekelezaji wa wazo mapema kabisa mwezi wa Saba mwanzoni mwaka huu 2024.nipo tayari kuchangia mia 5 kwa kila laini yangu🥳🤔
 
Nimekwambia Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi,hicho unachoita utitiri wa tozo ndio hakijatosha kujenga Barabara.

Sasa tuache au tujuchange tena? Leta jibu
Ulishawahi kupitia ripoti za CAG?
Suluhisho ni watawala kuacha utapeli, wizi na ufisadi wa mali za umma.

Kujaribu kurundika tozo mpya juu ya tozo zilizopo bila kudhibiti wizi ni sawa na kujaza maji kwenye tenga.

Tozo zilizopo zinatosheleza mahitaji na kuzidi wizi ukidhibitiwa..
 
Nchi gani imedhibiti wizi hapa Duniani? Pili kwani wizi haudhibitiwi? Ripoti ya CAG imefanya nini?
 
Wabunge wengi ni wajinga na wenye maarifa ya kuungaunga.
Ndiyo maana hawana ubunifu wa kupata pesa mbali na tozo za miamala ya simu.
Mfano kuntu wa hawa wajinga ni Mwigulu Nchemba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…