Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Mh. Shabiby apewe ulinzi haraka...😊
Naunga mkono hoja....!!!
Mommy afanze mpango chapchap la sivo huyu Mhe. Shabiby anaweza kupotea katika mazingira ya kutatanisha au kutekwa na Watu WASOJULIKANA...!!!
Tukumbuke wale jamaa almaarufu WASIOJULIKANA bado wapo ingawa Mwendazake kashatutoka.
OGOPA SANA SUKUMA GANG FROM CHATO......!!??
 
Bibie kimya chako mpaka kiliniogopesha. Nimefurahi leo kukuona tena kwenye JF.
Ramadhan maqbul.
Yakhe, mie mpaka nkafikri dadetu keshapewa Uteuzi na mama Sameer Suluhu Hassan ati. Nsha anza kuwa na wasiwasi shekhe! Karibu tena dada FaizaFoxy!!!
 
Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.


Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Baada ya kusikia john katoka ndiyo unajitokeza tena baada kuwa mafichoni
 
Kalemani ni Mbunge wa chato na Watu wa chato wanajulikana kwa upigaji wa pesa za walipa kodi? Kampuni ya nani hii yenye huu mkataba!? Usikute ni kampuni ya Jiwe? Na huu mkataba umesitishwa lini? Details ziwekwe hadharani tangu mwanzo wa mkataba hadi kusitishwa kwake.
Watakuwa wamepiga sana mpunga just imagine 5b kila mwezi kwa miaka 5
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom