Tetesi: Mbunge wa Arusha Mjini pamoja na Meya wasakwa na Jeshi la Polisi

Gambo ni tatizo arusha na ameletwa kwa mpango maalum muwe nae makini kuna dogo mmoja ananyemelea ubunge hapo arusha gambo kaletwa ili amtengenezee mipango.
Gambo namwonea huruma sana hata Magesa Mulongo alikuwa kama yeye leo hayupo
 
Acha kuandika vitu vya hovyo hovyo, mkuu wa mkoa awalazimishe polisi wamkamate lema ili iweje,kama anaitajika na jwshi la polisi taratibu zipo
 
Kwa jinsi anavyomuombea mabaya Rais wetu hakika Lema anatakiwa kunyea debe ili ajifunze adabu kwa wakubwa
Tangu lini maombi huwa ni jinai? Kuna waislam wakati Mrema akiwa Waziri Mambo ya Ndani, walisema watafanya ibada kjmwombea mabaya lakini sikuwahi kusikia walishtakiwa au hata kusikia kulikuwa na mipango ya kumshtaki.

Jukumu kuu la serikali ni kuhakikisha maendeleo ya watu yanapatikana.
 
Dah ila mwandishi kanifurahisha yaani ameonesha mahaba makubwa sana kwa kamanda, kijana shupavu na kiboko ya ccm mkoani arusha. Kweli ifike sehemu wakuu wa mikoa kama kuna haja ya kuwepo basi wachaguliwe na wananchi wa mikoa husika maana ni kero wakati mwingine. Huyu gambo atashindana na lema ila nina hakika hatashinda.
 
Tatizo wanajisahau sana wakiwa kwenye madaraka bado hawajifunzi mimi nilipokutana naye kwenye gari moja niliongea naye sana lakini nimefunza viongozi wengi wakiwa madakani huwa wanajisahau sana wakitoka ndo wanakuwa na akili.
 
Arusha imeshavurugika hata watariii hawaendi tena. Naomba wana arusha mchague mbunge mwingine ili arusha itengamaeee
 
Kwahyo anakumbuka shuka kukishakucha hata ningekuwa Mimi sikuajiri kijana kujiingiza kwenye vyeo vya kuteuliwa ni hatari kwa future yako maana uhakika wakubaki ni mdogo, au ukiingia utawala mpya kutemwa nje NNE.
 
Unashindwa kujionea huruma wewe Rofa
Umuonee huruma mkuu wa mkoa !!!
Hazikutimu
Wewe hujui chochote bora ungenyamaza kimya kila kwako ni siasa hatuko kwenye siasa hapa niambie Magesa Mulongo kwa sasa ni nani kwenye utawala wa JPM?
 
Mmmmh!...watu waliokua wakiendeshwa na ma vx saiv wanakimbizana na mabasi.maisha ni noma haya!..future is a mystery umdhaniae kumbe badae anaweza kukuomba msaada hata ww.ishini vizuri na watu wandugu hata kama leo una cheo na madaraka
 
Arusha imeshavurugika hata watariii hawaendi tena. Naomba wana arusha mchague mbunge mwingine ili arusha itengamaeee
Biashara ya hoteli za kitalii Arusha imeshuka, 70% ya zilizofunguliwa ndani ya miaka 10 zimefungwa na nyingine hali mbaya
 
Arusha inabebwa na Geographical location....Arusha ni kati kati ya Mlima Kilimanjaro, Serengeti na Nairobi...hapo bado uwepo wa Mbuga za Ngorongoro, Tarangire, Manyara, Arusha National park n.k

Sasa kama kuna mikakati basi ijumuishe na kuihamisha Arusha hapo ilipo...otherwise ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa kupaka upepo rangi.

Hili ombwe la uongozi likemewe tu kwa bidii zote ili tubaki salama.
 
Huyo lema ndio mandazi kweli,jitu halijielewi hilo wangelitia ndani hata mwaka litie adabu,team makengeza ni shida sana shule kichwani zero kazi kusumbua watu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…