Anaongea Kuwa akianguka aokotwe ina maana anapenda kuanguka anguka au kuangushwa chini pombe akileweshwa ninihalafu hata hizo club za zamani anazotolea mfano zilikuwa na malengo maalum kwa ustawi wa Taifa sasa yeye anazungumzia kulewa kuanguka na kuokotwa na viongozi wenzio imagine 😀
huko kutajaa mambo ya kutongozana tu
Wananifanya tuichukie CCM, tuichukie serkali eti waziri anapelekewa document bar ,mamake zake yule mama, anaitwa nani vileMbunge wa Viti Maalumu (CCM), Janejelly James ameishauri Serikali kuandaa eneo maalumu la viongozi kupumzika baada ya kazi akidai kuwa hivi sasa hali imebadilika kwa kuwa viongozi wameondolewa raha ya faragha na kusababaisha waonekane hawana maadili.
View attachment 2593046
So Mbowe alivyopiga konyaji alitwakiwa awe club na viongozi wenzakeAnaongea Kuwa akianguka aokotwe ina maana anapenda kuanguka anguka au kuangushwa chini pombe akileweshwa nini
Wanaume mnaelewa alichoongea vizuri
Wabunge kwa udhamini na hisani ya marehemu....wabunge wa marehemuWabunge viti maalumu ni hasara kwa Taifa
Mkuu, kazi ya Bunge ni kuisimamia, kuishauri na kutunga Sheria. Bunge hili linaonekana sio la kuwatetea Wananchi, Bunge la siku hizi linashindwa kabisa kutetea wananchi. Ebu fikiria, leo tembo wanasumbua karibu sehemu nyingi za Nchi; wanaua, wanakula na kuharibu mazao ya wakulima. Wakulima wakihoji, wanaambiwa wapo kwenye maeneo yao, hivyo hawastahali fidia. Sasa unajiuliza, kwanini Serikali ina vitambua hivyo vijiji na kukusanya kodi? Tembo akiuwawa na mkulima aliyekuwa analinda mazao yake yasiliwe na tembo anafungwa na faini juu. Ila mkulima mazao yake yakiliwa ama kuharibiwa na tembo hapati fidia, kwanini lakini? Enyi Wabunge, huyu mkulima wa kijini hana kazi ingine zaidi ya hiyo eka moja inayoliwa na tembao, Nyie wengi wenu, pamoja na kazi ya ubunge uliyo nayo, ni wakuliwa wakubwa pia, hivyo hata tembo akila mazao yenu bado mna ujira wa ubunge. Wateteeni wapiga kura wenu.yani halafu anasema viongozi wenzio wanakubeba na hautosikia kokote yani ni ujinga mtupu
badala ya kuzungumzia shida za wananchi wake atokako maana zipo kama maji,barabara,shule,umeme,umasikini yeye analeta habari za viongozi kukutana club kwani huko bungeni si wanakutana au anataka nini huyu mama jamani
Aliewapa huo ubunge alitukosea san watanzania!!Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Janejelly James ameishauri Serikali kuandaa eneo maalumu la viongozi kupumzika baada ya kazi akidai kuwa hivi sasa hali imebadilika kwa kuwa viongozi wameondolewa raha ya faragha na kusababaisha waonekane hawana maadili.
View attachment 2593046
Ushaambiwa ni mbunge viti maalum sasa atakuwaje na akili.Huyu mama hana akili
Huyu mama ukimuuliza maswali ya kushtukiza kuhusu GDP anaweza zimia. Pia ukimuuliza ni kwa nini yuko bungeni hajui wala aliingiaje huko hajui vile vile hajui kama ni kweli hajui.Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Janejelly James ameishauri Serikali kuandaa eneo maalumu la viongozi kupumzika baada ya kazi akidai kuwa hivi sasa hali imebadilika kwa kuwa viongozi wameondolewa raha ya faragha na kusababaisha waonekane hawana maadili.
View attachment 2593046
Mama anapenda sana kubebwa!yani halafu anasema viongozi wenzio wanakubeba na hautosikia kokote yani ni ujinga mtupu
badala ya kuzungumzia shida za wananchi wake atokako maana zipo kama maji,barabara,shule,umeme,umasikini yeye analeta habari za viongozi kukutana club kwani huko bungeni si wanakutana au anataka nini huyu mama jamani
Huyu hamnazo kabisaaaaaaMbunge wa Viti Maalumu (CCM), Janejelly James ameishauri Serikali kuandaa eneo maalumu la viongozi kupumzika baada ya kazi akidai kuwa hivi sasa hali imebadilika kwa kuwa viongozi wameondolewa raha ya faragha na kusababaisha waonekane hawana maadili.
View attachment 2593046
Nakazia, walipelekwa bungeni kuwastarehesha wanene nuktaWabunge viti maalumu ni hasara kwa Taifa
Ina maana vitu vya msingi kwa maslai ya taifa vimekosekana kujadillwa huko bungeni?Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Janejelly James ameishauri Serikali kuandaa eneo maalumu la viongozi kupumzika baada ya kazi akidai kuwa hivi sasa hali imebadilika kwa kuwa viongozi wameondolewa raha ya faragha na kusababaisha waonekane hawana maadili.
View attachment 2593046
Hivi wanakumbuka hata kupeleka marejesho kule Chato??Nakazia, walipelekwa bungeni kuwastarehesha wanene nukta
Hapo ndo shida inakoanzia!Na wananchi wanasema na wao wana mbunge