Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #61
Samahani I don't argue with idiots, nimeshapost kama unakereka jinyongeMbowe na Lisu it is know they have wanaume as their hub, so msitake kuleta ujinga hapa wa kutudhalilisha wana CCM kupitia maisha binafsi. Kwanza mbunge naona kaongea poa kabisa na anaonekana ni lijali aka mwanaume! CCM Iko juuuu
"Halafu clip imeanzia katikati na kuishi kabla ya mwisho. Hatujui nini kilitokea kabla na baada ya clip hii. Halfu mtoa mada, embu nitajie matusi unayosema yametajwa
Hahahahaha halafu anawahi BUNGENi kwenda kusaini SITTING ALLOWANCE"
Mama yako ni tapeli alimtapeli baba yako..." mwisho wa kunukuu
Wote ni wapuuzi tu, hakuna MTU hapoMwanamke ndio mpuuzi hapa
Kama kweli anajali ndo asingefanya huu upuuzi
Hawa watu wanafanya ubunge uone kane kitu rahisi sanaaHahahahaha halafu anawahi BUNGENi kwenda kusaini SITTING ALLOWANCE
Ila mbunge amezidi hakupaswa mbele ya hao wanao chota majiWote ni wapuuzi tu, hakuna MTU hapo
Nahisi mleta mada alitaka Kusema Mbunge wa Tabora mjini atusiwa na mke aliyemchoka hadharani kwa kumwita tapeliHalafu clip imeanzia katikati na kuishi kabla ya mwisho. Hatujui nini kilitokea kabla na baada ya clip hii. Halfu mtoa mada, embu nitajie matusi unayosema yametajwa
Sasa umekimbilia kuposti huku ili iwe nini acha umbea mtoto wa kiume. Na hv mwarabu anakuja mtaolewa wengi sana nyinyi.Lawama za kipumbavu unazo wewe, niyajue ya Nini?
SAWA! Watoto wa siku hizi adabu hamna!Sasa umekimbilia kuposti huku ili iwe nini acha umbea mtoto wa kiume. Na hv mwarabu anakuja mtaolewa wengi sana nyinyi.
Ila bora uwe nazo pesa, lakini kama huna hakuna rangi utaacha kuiona au uamuwe kuwa mseja.Sitaki kuzungumzia maswala yao personal, ila nikiwa chalii mdogo hv niliamini kuwa na pesa na cheo kikubwa nitakuwa na furaha maishani . Lakini nadhani nilikuwa naidanganya nafsi yangu.