Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Nadhani labda hujaelewa hoja yangu hapo. Sipingi kutokuwa na helaIla bora uwe nazo pesa, lakini kama huna hakuna rangi utaacha kuiona au uamuwe kuwa mseja.
Bila kusahau lazima mbunge awe na machawa wake kila Kata wote hawa lazima uwape posho.tukiachana na yote ya kisiasa kama mwanaume nipo upande wa mbunge huyo mwanamke jeuri sana,
na ndio tatizo lilipo angekua wise mother angetuliza yaishe kikubwa haya magumegume jau sana kurekodi kutafuta huruma,
hapo utakuta mwamba alikua silent hilo likaanza payuka na majirani washajua kitambo matatizo yao kabla hata mwamba hajatimba hapo
anyway watu hudhani wabunge wana pesaaaaa kumbuka kadri unavyopata vyeo na pesa majukumu huongezeka maana unajikuta wanao kutegemea wengi maana ndie uliyetoboa angalau kwenye family!
Mzee haya mambo ya migogoro ya kifamilia huwa si wish kabisa niyapitie ila kwenye maisha huwezi jua nini utakachoktana nacho mbele.tukiachana na yote ya kisiasa kama mwanaume nipo upande wa mbunge huyo mwanamke jeuri sana,
na ndio tatizo lilipo angekua wise mother angetuliza yaishe kikubwa haya magumegume jau sana kurekodi kutafuta huruma,
hapo utakuta mwamba alikua silent hilo likaanza payuka na majirani washajua kitambo matatizo yao kabla hata mwamba hajatimba hapo
anyway watu hudhani wabunge wana pesaaaaa kumbuka kadri unavyopata vyeo na pesa majukumu huongezeka maana unajikuta wanao kutegemea wengi maana ndie uliyetoboa angalau kwenye family!
......usikute hata anataka awe waziri wa Maendeleo jinsi wazee na Makundi maalum!Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi
Intermittent explosive disorder !! Hayo ni maradhi atafute matibabu !!Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Hakika ,Mbunge alipandwa na hasira hakuikumbuka nafasi yake kwenye jamii, wajanja wakampiga picha, matokeo yake sasa ni lawama kwake hata kama kosa hatujui lilipoanzia.
Mambo binafsi hayo hayatuhusu. Pia, iwe fundisho Kwa dada zetu kutoshobokea vya bureSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Imevunja miiko ya uongoziSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
mambo ni mengi pesa kichele au sio haahhaaa!Bila kusahau lazima mbunge awe na machawa wake kila Kata wote hawa lazima uwape posho.
Mimi nimesikia "utaniuwa na sukari huwezi kufanyia umalaya ndani ya nyumba yangu" wanawake majanga tufanye makosa yote usifanye kosa kuchagua mke.Sijasikia tusi lolote hapo miye
Na wapiga kura wao ?Wabunge ndio wa mchongoππ
Mbunge ni kiongozi na ndio maana kuna Sheria ya maadili ya viongozi wa umma.Ayo ni maisha binafsi jifunze kufanya maisha yako
Ubunge ni cheo ila kunamaisha nje ya bunge nazan unapaswa kuelewa ilo
Amuulize ndugaiUnasemaje? si anamfuta uanachama wa CCM, then anatoka automatically. Then anamwambia omba upya uanachama uendelee kuwa mwanachama
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988