Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - KikweteHuyu jamaa nilishawahi kumpongeza kwa uteuzi, akanichunia. Well.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - KikweteHuyu jamaa nilishawahi kumpongeza kwa uteuzi, akanichunia. Well.
Duh, umebaki mwezi mmoja bungeni kuvunjwa, hakukuwa Na haja kuteua waziri
Mzee wa updates kumbe hadi huku upo? Kweli corona imeamua kutukusanya.Hii nchi ni vigumu kupata maendeleo ya kweli, kwa sababu mfumo ni ule ule wa kujifukiza..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna hasara lakini siyo lazima. Pia ni vizuri kumchukua ambaye alikuwa waziri kwa kuwa anajua utaratibu kuliko kuleta mpya kabisa wakati muda umebaki mfupi sana!Na Waziri akiwa na profession husika, nini hasara?
-Kaveli-
Hii wizara haina naibu waziri?Sasa bunge la bajeti si ndo lipo linadadavua mambo ya 2020/2021 nani wa kuisemea wizara? Lazima pawe na waziri kwenye wizara ndo maana Mh.Kamchagua mh Mwigulu Nchemba ili aweze kuisemea wizara so ww ulitaka wizara ibaki hidow?
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea na stress zako tayari jamaa ni Waziri wa Sheria na Katiba na huna cha kufanya!LEO NI SIKU MBAYA SANA KWA JUDICIARY .....IMENAJISIWA KWA KUCHAGULIWA MTU HOPELESS ...MTU WA PROPAGANDA CHAFU ..NA SIASA CHAFU ....MTU WA KUJIPENDEKEZA ...KUWA KWENYE NAFASI NYETI YA WAZIRI WA SHERIA .....HUYU ILI AJIHAKIKISHIE NAFASI ATAENDA KUFANYA TU SIASA PAKE .....NA LAZIMA ATAKUJA NA SHERIA ZA AJABU ....NA KUBADILISHA KATIBA ILI COWARD ATAWALE MILELE
Haina.Hii wizara haina naibu waziri?
Sent using iphone pro max
Kama ambavyo uwaziri wake haunisaidii mimi , kama wewe sio mkewe au mumewe basi Huli mshahara wake ....so tujadili kwa picha pana ,hakuna mtu mwenye haki ya kupata stress na kazi yake zaidi ya familia yake ....au pengine mchepuko wakeEndelea na stress zako tayari jamaa ni Waziri wa Sheria na Katiba na huna cha kufanya!
Well said my brother.Hakuna hasara lakini siyo lazima. Pia ni vizuri kumchukua ambaye alikuwa waziri kwa kuwa anajua utaratibu kuliko kuleta mpya kabisa wakati muda umebaki mfupi sana!
iseeee hizi breaking news za jf tukiziona siku hizi tunajuajua misiba yaaani nimeshtuka alafu kucheck kumbe ni teuzi kha...ngoja nishushe presha kwanza narudi.
Kwani Kigogo hajawaambia?Ila sijaona kama kuna mahali pameandikwa kuwa ataapishwa lini. Au kuandika kuwa uteuzi wake unaanza leo ndiyo kuashiria kwamba hakutakuwa na kuapishwa kwa sasa?