OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
mimi haipunguzii kitu,naionea huruma Tz kwa kuwa na viongozi hopelessPole sana, usiyempenda katimba mjengoni dakika za lala salama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi haipunguzii kitu,naionea huruma Tz kwa kuwa na viongozi hopelessPole sana, usiyempenda katimba mjengoni dakika za lala salama!
very terrble hata kumilia hapana! Kuna tatizo kubwa mu kichwa!Marehemu kafa jana tu
Pale uwezo wa akili unapofika mwisho
Uwaziri siyo watendaji hivyo hawachaguliwe kwa professional zao wewe mbumbumbu!!
Very true, alitaka kuwaamisha watanzania kuwa is hard working kumbe wenye nazo wanamshangaa! Kwani wameshazika?Ingekuwa tunaenda msibani, hata kuteua tungekua na utu wa kusubiria kidogo...haraka ya nini hata hatujazika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, umenifanya nicheke Sana 😂😂Marehemu kafa jana tu
Sounds good but not necessarily, masuala yote ya kitaalam katibu mkuu huyasimamia hivyo ndiye mtendaji mkuu wa wizara, waziri husimamia seraIkitokea Waziri na Katibu wake kutofautiana kimtizamo kwenye suala linalohitaji professionalism, inakuwaje?
Mimi nadhani it sounds better wote Katibu na Waziri wake wakawa na corresponding profession to the Ministry they lead. Sio dhambi kufanya hivyo, inaongeza tija zaidi kwenye utendaji na utekelezaji wa duties za Wizara.
Ebu fikiria Wizara kama ya Afya inayodeal directly na maisha ya binadamu, iongozwe na Waziri mtaalamu wa SHERIA. Does it click in your mind?
To me, the common sense aborts!!
-Kaveli-
MTU hata hajasomea sheria hii nchi ndomana hatuendelei!! Kisa anampamba vyakutosha hapa ndipo ujue kwenye kuchagua na kutengua hawashirikishi makamu na Pm.
Kenya walimpa jina flank nikachukia lkn sikuwa na sababu kuchukia.
Unafukuza unavyojiskia na kurudisha unavyojiskia tuu kama hausi gelo wamtu vile kumbe ndonchi ivyo inaongozwa!!
Waziri akialikwa mijadala ya sheria na katiba kimataifa tunafanyaje?????? Dah!!!