Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Tanzania inahitaji RAIS kama aliyepo sasa asietabirika kesho atafanya nini

mwenye anafanya vitu kwa maslahi ya nchi na sio kufata sifa sifa za raia wanasema nn

haya sasa Mwigulu huyooo sijui wale vidomo domo watasema nn tena kiruuu.
Umeshafukizwa? Ndo maana unaweweseka.
 
Ministerial Appointments za kiafrika huwa nachoka sanaaa.

Professional wa UCHUMI, anapewa kuongoza Wizara ya SHERIA!!

Mtaalamu wa SHERIA anaongoza Wizara ya AFYA!!

Afrika itaendelea kuwa bara la Giza tu. Sijuwi tulilogwa na nani?!!!

Kuna mambo mengine mpaka 'common sense' yenyewe inashangaa!

-Kaveli-
waziri ni kiungo kati ya serikali na bunge. mtendaji mkuu ni katibu mkuu
 
Pole kwa kuumia
Niumizwe na teuzi za Magufuli !
FB_IMG_1588420427899.jpg
 
Ministerial Appointments za kiafrika huwa nachoka sanaaa.

Professional wa UCHUMI, anapewa kuongoza Wizara ya SHERIA!!

Mtaalamu wa SHERIA anaongoza Wizara ya AFYA!!

Afrika itaendelea kuwa bara la Giza tu. Sijuwi tulilogwa na nani?!!!

Kuna mambo mengine mpaka 'common sense' yenyewe inashangaa!

-Kaveli-
Kama unataka mtu achaguliwe kuongoza kulingana na taaluma yake, kulikua hakuna haja ya watu kusoma Somo la uongozi. Ata DJ asinge stahili ata kuwa mfagiaji pale Unyumbuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom