ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Umeshafukizwa? Ndo maana unaweweseka.Tanzania inahitaji RAIS kama aliyepo sasa asietabirika kesho atafanya nini
mwenye anafanya vitu kwa maslahi ya nchi na sio kufata sifa sifa za raia wanasema nn
haya sasa Mwigulu huyooo sijui wale vidomo domo watasema nn tena kiruuu.