Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Nategemea uchapaji kazi ulitukuka chini ya uwongozi wake

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 

LEO NI SIKU MBAYA SANA KWA JUDICIARY .....IMENAJISIWA KWA KUCHAGULIWA MTU HOPELESS ...MTU WA PROPAGANDA CHAFU ..NA SIASA CHAFU ....MTU WA KUJIPENDEKEZA ...KUWA KWENYE NAFASI NYETI YA WAZIRI WA SHERIA .....HUYU ILI AJIHAKIKISHIE NAFASI ATAENDA KUFANYA TU SIASA PAKE .....NA LAZIMA ATAKUJA NA SHERIA ZA AJABU ....NA KUBADILISHA KATIBA ILI COWARD ATAWALE MILELE
 
Roho marehem hat hajaoza? Watu wanakufa kwa corona kakaa kimya, kwenye uteuzi ndo macho juu juu kama break ya isuzu mxieew .. kwel Kufa kufaana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tanzania inahitaji RAIS kama aliyepo sasa asietabirika kesho atafanya nini

mwenye anafanya vitu kwa maslahi ya nchi na sio kufata sifa sifa za raia wanasema nn

haya sasa Mwigulu huyooo sijui wale vidomo domo watasema nn tena kiruuu.
Alipomfukuzwa ilikuwa kwa maslahi ya nchi.
Leo mtu yule yule anateuliwa tena kwa maslahi ya nchi. Na siyo kwamba kateuliwa na rais mwingine, ni yule yule aliyemfuta kazi.
Mimi binafsi nisisemee wengine, huyu nafasi aliyonayo inamzidi uwezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tujiandae kusikia wabunge wa CCM wakiongea pumba kwa wingi i wiki..ili wamfrahishe pilato kama .uyu
 
Singida magharibi ni Waziri Vs katibu Mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom