Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najisikia kumtukana AiseeKalipwa mwanangu duuuh. Huyu Rais ni wa ajabu sana! Yani ule ugoro alioongea Mwigulu Bungeni kapewa uwaziri? Oooh my God! Ooooh my God!
Umeliweka vizuri sanaUnafikiria usipoongea ugoro utapa cheo? Huyu jamaa ni mental case na anapenda watu wapumbavu kama yeye.
Wote walewale, hakuna mpya, wote wako bize kujifukiza.Dah huu............ Umerudi tena kwenye uwaziri?
Aisee huko CCM hamna watu wengine wa kuwapa Uwaziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawaziri wanaendelea na kazi hata baada ya bunge kuvunjwaDuh, umebaki mwezi mmoja bungeni kuvunjwa, hakukuwa Na haja kuteua waziri
Baraza la mawaziri hata hivyo litavunjwa after three months.He's not gonna last long trust me!
kirusi kirusi
Ni swala la muda
Mtawala anajidanganya sana
Tanzania inahitaji RAIS kama aliyepo sasa asietabirika kesho atafanya nini
mwenye anafanya vitu kwa maslahi ya nchi na sio kufata sifa sifa za raia wanasema nn
haya sasa Mwigulu huyooo sijui wale vidomo domo watasema nn tena kiruuu.
Kwa sasa Kitila hana chakeHongera zake, atleast kukaa ofisini miezi miwili mitatu sio mbaya.
Hii move sasa imenogesha ule mpambano wa Mwigulu na Kitila kule Iramba, now wote wako level.
Sent using Jamii Forums mobile app