Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
yeah takataka zinajuanaTakataka hujua takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah takataka zinajuanaTakataka hujua takataka
katika biggest mistake aliyofanya mkuu ni kumludisha huyu ita m costmzee kachanganyikiwa. ukute amesahau hata kama ameteua mtu aliewahi kumtumbua.
Dah! Kama ni bajeti alikuwa ameshawalisha bungeni, wizarani naibu yupo, katibu Mkuu na watu kibao.Ingekuwa tunaenda msibani, hata kuteua tungekua na utu wa kusubiria kidogo...haraka ya nini hata hatujazika?
Sent using Jamii Forums mobile app
magu hataki kulaza damu.Rais Magufuli Amteua Mwigulu Nchemba Kuwa Waziri wa Katiba na Sheria
View attachment 1437810
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi teuzi zinatupa picha kuwa tuna kiongozi wa aina ganiKich.aa kapewa Rungu, tulieni muone
Exactly. Umenena vyema. Kuna Wizara huwezi kwenda kujifunzia kazini.Ingawaje Katibu Mkuu ndie mtendaji wa wizara lakini kuna wizara zingine busara ni kuwa na waziri ambae mwenye taaluma ya wizara husika! Anyway, huenda atapunguza kujitoa ufahamu kule Twitter!
Kwani kuna atakae kufa tena ili Nape achukue nafasi yake?Amebaki Nape.