Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Hivi huyo Mwigulu si ana-mastaz ya Uchumi???
Mparanganyiko
Mparanganyiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana hakuna alieweza kukava hiyo nafasi zaidi ya nchemba?
Yaani bora nchemba angepewa michezo na sanaa makyembe ndio apewe sheria na katiba
Hata simba chawene alitumbuliwamzee kachanganyikiwa. ukute amesahau hata kama ameteua mtu aliewahi kumtumbua.
Kwamba amelipwa fadhila.
Ss raisi asiyefata raia wanataka nn huyo ni raisi wa nani?Tanzania inahitaji RAIS kama aliyepo sasa asietabirika kesho atafanya nini
mwenye anafanya vitu kwa maslahi ya nchi na sio kufata sifa sifa za raia wanasema nn
haya sasa Mwigulu huyooo sijui wale vidomo domo watasema nn tena kiruuu.
Mwigulu Nchemba alijitoa hadi ufahamu ilimradi tu akumbukwe cheo.
Me nilijua tu jamaa atapewa uwaziriHongera kwake. Anastahili maana alimtetea Rais hata pasipoteeka. Vyeo vya kupeana si kwa uweledi.
Wabunge wengi hawana elimu na wenye nazo basi za mashakaCCM wana viongozi wachache sana. Yaani ukianza kuwa waziri ni waziri hadi ufe.
Sihitaji kujikomba kwa mtu mimi. Wewe unaona huu uteuzi umezingatia maadili? Yani mtu kwa yale aliyoongea bungeni unampa uwaziri!Wala usitukane ndugu, kila jambo huja kwa wakati na nanafasi...kwasasa mamlaka ni yake, huenda nawe zamu yako itakuja
Itabidi nitafute kadi ya njano na kijani kwa matumizi binafsi.