Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Rais Magufuli Amteua Mwigulu Nchemba Kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

IMG_20200502_184713.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usitukane ndugu, kila jambo huja kwa wakati na nanafasi...kwasasa mamlaka ni yake, huenda nawe zamu yako itakuja
Yani hapa naporomosha mitusi hadi nakera watu.
 
Ingawaje Katibu Mkuu ndie mtendaji wa wizara lakini kuna wizara zingine busara ni kuwa na waziri ambae mwenye taaluma ya wizara husika! Anyway, huenda atapunguza kujitoa ufahamu kule Twitter!
 
Hii ndio raha ya kujua kumfurahisha mkuu.
 
Back
Top Bottom