Acheni kukurupuka. Mzee tumeshamzika Tosa na matanga tumemaliza. Familia iliwakilishwa na dada yake. Mkewe anauguza mtoto wao Nairobi, mtoto mwingine inasemekana yuko Magharibi ambako lockdown hairuhusu ndege kuruka. Mama Samia na Tulia walihudhuria na Lukuvi alikuwa msimamizi mkuu kwa amri ya raisi.Mila zetu za kiafrika zinakataa kutenda hivyo! Maiti akishazikwa, unapitisha hata siku mbili au tatu, mila inakuruhusu kuifanya yaliyo ya muhimu sana kwa vile inakuwa bado ni msiba mbichi sana
Wahasibu mna matatizo sana kujifanya much knowmimi haipunguzii kitu,naionea huruma Tz kwa kuwa na viongozi hopeless
Jamaa anajua kusifu na kuabudu hadi ananena kwa lugha mpyaBandika bandua...
Hii ndio faida ya kujipendekeza na kuitetea serikali hata kwenye mambo ya ajabu. Kwenye awamu hii Wanaosaka teuzi fuateni nyayo za Mwigulu.
aa katia aibu sana. Ni kama vile wamesubri muda mrefu sana afe waweke mtu wao.Ingekuwa tunaenda msibani, hata kuteua tungekua na utu wa kusubiria kidogo...haraka ya nini hata hatujazika?
Sent using Jamii Forums mobile app
na mimi ni much know kweli kweli hata ninaweza kufanya vizuri kuliko jiweWahasibu mna matatizo sana kujifanya much know
Jf ni watanzania Na wako ofisi mbalimbali.Nimeamini hapa Jf, tuna makachero wa kutosha ni jana tu Majina ya Mh,Mwigulu Nchemba na Mh, Mwakyembe yametajwa tajwa hapa na leo ngoma imetiki? Viva Jf
hivi uwaziri wenyewe si kwa miezi miwili tu auHuyu Mwigulu mzee angemuacha tu aje mtaani awe mjasiriamali, alitakiwa aje kuonyesha PHD yake namna inavyofanya kazi kama mfano kwa vijana walioko mtaani huku..
Vijana wengi wako bench huku, Mkuu angetusaidia kuibua vipaji vipya na huyu angemuacha tu maana tayari anamtaji wa hela na maarifa angeweza tu kujiajiri..
hivi uwaziri wenyewe si kwa miezi miwili tu au
Hiyo wizara haina press, kwahyo hawezi fanya siasa siasa na propaganda za kiawamu ya 5Ndiyo maana wanaingia na kutoka eeh? Hivi ukiwa waziri wa katiba na sheria kwani unafanya press mara kwa mara au wao huwa ni mara chache kuonekana?
Sijawahi kujipendekeza upande wowote mkuu, utakuwa umenifananishaMkuu hata wewe kwa kupenda kukosoa upande mmoja unajipendekeza upande wa pili. That’s life.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndomana nikasema kwasasa mamlaka ni yake nikimaanisha kuwa anao uhuru kamili wa kumchagua yeyote anayeona anafaa lakini wakati utafika na wengine watakujaSihitaji kujikomba kwa mtu mimi. Wewe unaona huu uteuzi umezingatia maadili? Yani mtu kwa yale aliyoongea bungeni unampa uwaziri!
Rais Magufuli anafanya hivi ili kuwafanya watu wajitoe fahamu wakigombea kuteuliwa jambo ambalo ni hatari sana kufanywa na kiongozi wa nchi.
Hayafuti sababu yapo kimkakati, pale atakuwa anafuta namba za mwishoni tu na kuweka mwaka wa uchaguzi kwa mfano mwaka huu ataifuta 15 kisha ataweka 20 na kusomeka 2020kisheria akafute yale mawe ya mwigulu rais 2015-
nchi inaye rais mmoja tu
Hongera sana Dr. Mwigulu kwa iteuzi, We we ni Mzalendo, shupavu na mchapa kazi. Kila LA kheri katika Wizara, Watachonga sana juu yako, achana nao. Kachape kazi kwelikweli.