Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Kalipwa mwanangu duuuh. Huyu Rais ni wa ajabu sana! Yani ule ugoro alioongea Mwigulu Bungeni kapewa uwaziri? Oooh my God! Ooooh my God!
Kwani kuteuliwa kwake kuwa Waziri kunabadili tabia yake ama mitizamo ya watu wengine dhidi yake? Unataka kusema waliokuwa wanamsema ni kwa sababu hakuwa Waziri?haya sasa Mwigulu huyooo sijui wale vidomo domo watasema nn tena kiruuu.
Marehemu hata hajapasuka kashateuliwa mthiriRaisi angeacha kwanza jamani