Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Huyu mbunge IQ yake kubwa sana. Alichomaanisha ni kuwa wahasibu wafundishwe Forensic audit, Fraud risk etc, ila kwa lugha yake nyie msiofahamu mtambeza sana, ila kaongea pointi muhimu sana, Tanzania watalaamu wa forensic audit, fraud si wengi ni wachache mno.
Kingine wanafuzni wote iwe compulsory kwa somo la Business ethics, ili kuinstall moral behaviour kwa wahusika. Nadhani serikali ilichukulie hili jambo na kulifanyia kazi
Kingine wanafuzni wote iwe compulsory kwa somo la Business ethics, ili kuinstall moral behaviour kwa wahusika. Nadhani serikali ilichukulie hili jambo na kulifanyia kazi