King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Eti bunge wameahirisha kwa siku moja,what they just dont know ni kwamba lazima iondoke na watu zaidi ya kumi humo ndani
They just dont know hiding makes them look even more silly
Na jinsi walivyo wazee,walivyo weak,walivyojaa ukimwi,etc...lazima wapunguke vya kutosha
Watafunga bunge kabisa....just wait....Ndugai atatoa sababu ya kijinga sana,utaona tu!
Duuh si mchezo
zitto Hana Jimbo bibie.kwa Sasa amebaki Kama mzee maarufu.Nikajua ni jimbo la Zitto ,
Poleni sana.
Kwani nae aliiba kura !?Ngoja tukaomboleze kwa kunywa serengeti lite 12.
Very foolish not Ignorant could comment like this.Mmmh, kama hakuiba kura Mungu amweke pahali pema.
Kwani ilikuwa ni ajali ya kimya kimya? Mtu mkubwa kama huyu apate ajali na isitangazwe! Basi News Room haikututendea hakiMbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Ndugu Atashasta Nditiye alipata ajali ya gari juzi Alfajiri Dodoma.
Taarifa ni kuwa ametangulia mbele ya haki mapema leo.
Pumzika vema mzee Nditiye, mtu mwema.
Atashasta Justus Nditiye ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Muhambwe Kigoma kwa mwaka 2015 – 2020 na Mwaka 2020 - 2025. Kazaliwa Tarehe 17 Oktoba 1969
Spika Ndugai amesema Marehemu alipata ajali Feb. 10. 2021 Nanenane Dodoma na kupelekwa Hospitali ya Mkoa Dodoma na kuhamishiwa hospitali ya Benjamin Mkapa alikofariki Feb. 12. 2021, Nditiye pia aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Uchukuzi.
Ilikuwa ya ungo?Ajali siyo lazima iwe ya chombo cha moto kama gari, pikipiki, ndege nk!
Hii ni nafasi kwa upinzani kudhibitisha kwa wananchi na jumuia za kimataifa kama waliibiwa kura au laa, kupitia hizi chaguzi za marudio majimboni. .Safari hii nchi yetu itarudia sana uchaguzi wa wabunge na madiwani, Corona kolabo na Makombora Ya Kienyeji.
Walio dhulumiwa haki zao za ushindi hawajatulia mpaka dakika hii, watu wanakesha kwa kina Sir Ngoma na Nyumba Za Ibada, mmoja mmoja watamchomoa.
Serikali ijipange kwa budget ya kurudia uchaguzi jimbo baada ya jimbo.
NB: Msemo mtakatifu wa kidini kwamba "Dhuluma haidumu, na ikidumu inaangamiza"
Tunaomba Uzi WA ajali Kwanza.Ajali?
Really?
Picha iko wapi?
Mnaona WaTZ wajinga eee?
Keep on lying to yourselves!
Kwa comment hii wewe ni kilaza square uchaguzi upi bila tume huruHii ni nafasi kwa upinzani kudhibitisha kwa wananchi na jumuia za kimataifa kama waliibiwa kura au laa, kupitia hizi chaguzi za marudio majimboni. .