tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kapata akili nusu,hajasema vifo ni vingapiMbunge wa Ngorongoro Emmanuel Oleshangai Naomba kuthibitisha kuwa wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana kwenye zoezi la uwekaji wa beacons kwenye ardhi ya vijiji, Ngorongoro.
Wananchi hao wanapatiwa huduma nchi ya jirani ya Kenya baada ya kunyimwa huduma zahanati ya Osero kata ya Ololosokwan bila PF 3, na waliowapiga ndiyo wanatakiwa kutoa PF 3.
Ikabidi wakaamua kwenda Kenya kutibiwa, Waliopigwa ni wapiga kura wangu halali na siyo wakenya.
Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai
====
Katika Ukurasa wake wa Facebook, Mbunge wa Ngorongoro ameandika hivi:
Kwa akili yako lazima kwenu kazimkazi,toto rojorojoWameogopa kukamatwa baada ya kufanya mauaji ya askari hivyo wanatibiwa kienyeji na wengine wapo Narok Kenya kwa wamasai wenzao na mbunge ndiye anayehamasisha wananchi wafanye vurugu badala ya kuwaelimisha wamasai wenzake nini kinafanyika na nini lengo la kuweka alama kwenye hifadhi.
Kassimu uwongo kazoea toka mdogo,ila jumba bovu litampata macho kumchuzi ndio kauza kama mwinyi alivyouza mwaka 1992Hili suala linavyokwenda kuna kila dalili ya kwenda kuigharimu nafasi ya uwaziri mkuu kwa Mh Ka[emoji3513] jumba bovu linaweza kumuangukia wakati wowote ule.
Wale Warudi wanatafuta fursa za ajira na biashara tofauti na wamasai wanaotumia silaha kuvunja sheria na kujimilikisha ardhi kila wanapopataka Wao. Hawataki kupangiwa na Serikali.Hicho sio kigezo cha wao kuwa Watz, hao ni wahamiaji haramu tu
Serikali haiwezi kufidia Watu wasio na umiliki. Mali zao ni ngombe na hakuna MTU aliyezichukua. Hakuna Watu WENYE ardhi isiyo na mipaka.Hebu tuelimishe wewe, lengo lake ni nini?
Na unakwendaje kuweka alama kwenye ardhi isiyo yako? Ardhi ya Loliondo na Ngorongoro si ya serikali bali ni ya umma na umma huo ni hao wananchi wenyeji wa vijiji vya maeneo hayo tangu vizazi na vizazi...
Ardhi hiyo ni mali ya wananchi wa vijiji vilivyo kwenye maeneo hayo...
Serikali ikitaka kuichukua kwa sababu zake, sharti wakae chini na wenyeji, wazungumze na kukubaliana..
Sasa swali la kujiuliza ni hili, kwamba, iweje serikali ipeleke wanajeshi/askari polisi wakiwa na silaha za kivita kuvamia ardhi ya watu tena bila uongozi wa wananchi wa maeneo kujua lolote linaloendelea? Je, huko si ni kutaka kuleta vita na maafa yasiyo na sababu...??
Very stupid decisions from very stupid and foolish government officials.!
Walikuwa wanaamini kuwa kupitisha sheria hatarishi ni kuikomoa chadema.
Sasa yanawageukia wao na hili inabidi liwe fundisho kuwa hakuna anaye ijua kesho yake.
Kama kila siku unafwatilia zari/wema/uwoya kavaa nini hapa hutaambulia kitu!Sijaelewa
Hao masai watakuwa sukuma gang maana sisi tunapumua,,
Alisikika taahira sexless na sukule mmawia yakifanya uchawa kwa mama. View attachment 2259803