Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai: Wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana. Wanatibiwa nchini Kenya

Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai: Wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana. Wanatibiwa nchini Kenya

Wameogopa kukamatwa baada ya kufanya mauaji ya askari hivyo wanatibiwa kienyeji na wengine wapo Narok Kenya kwa wamasai wenzao na mbunge ndiye anayehamasisha wananchi wafanye vurugu badala ya kuwaelimisha wamasai wenzake nini kinafanyika na nini lengo la kuweka alama kwenye hifadhi.

Kwa mfano wewe ungekuwa huko ngorongoro ungeelewa kinacho endelea?? Yani pale unapoishi na umejenga unakuja kuambiwa hapa sio kwako ungeelewa?
 
Mbunge wa Ngorongoro Emmanuel Oleshangai Naomba kuthibitisha kuwa wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana kwenye zoezi la uwekaji wa beacons kwenye ardhi ya vijiji, Ngorongoro.

Wananchi hao wanapatiwa huduma nchi ya jirani ya Kenya baada ya kunyimwa huduma zahanati ya Osero kata ya Ololosokwan bila PF 3, na waliowapiga ndiyo wanatakiwa kutoa PF .3.

Ikabidi wakaamua kwenda Kenya kutibiwa, Waliopigwa ni wapiga kura wangu halali na siyo wakenya.
Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai

====

Katika Ukurasa wake wa Facebook, Mbunge wa Ngorongoro ameandika hivi:
Yule alie tuambia rais Magu yuko salama na ana chapa kazi, ndie huyu huyu katuambia Loliondo oko salama na wanao eneza uzushi washughulikiwe.
Kwa kauli hiyo nategemea mbunge ashughulikiwe faster.
 
Wameogopa kukamatwa baada ya kufanya mauaji ya askari hivyo wanatibiwa kienyeji na wengine wapo Narok Kenya kwa wamasai wenzao na mbunge ndiye anayehamasisha wananchi wafanye vurugu badala ya kuwaelimisha wamasai wenzake nini kinafanyika na nini lengo la kuweka alama kwenye hifadhi.
We uvccm tumia Akili yako sawasawa....
 
Ta
Hivi Wamaasai wakisha hamishiwa Handeni kutakuwa tena na jimbo huko
Wilay kubwa hii!
Kuna wengine tupo hapahap lakini taarifa tunapata JF, na kuona misafara ya FFU ndo ukumbuke kuhoji. Kimsingi ni migogoro ndani ya vijiji kadhaa.
 
Sio wajinga kukataa huenda zoezi sio halali. chukua mfano wewe kama mwanamme , jamaa aje kukulawiti ili atimize zoezi au adhima yake UTAKUBALI?. Shetwani wewe
Mfano uliotoa sio sahihi ni kosa kisheria mambo ya ulawiti, siku zote huwezi kushindana na serikali utaishia kupata matatizo
 
Back
Top Bottom