Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ndiyo huwa hivyohivyo. Wanapoona wakinzani wao wanalalamika kufuatiliwa,kutishiwa au kufanyiwa dalili yoyote ya kuhatarisha amani wawe wanaelewa badala ya kutoa sentensi za kejeli kwamba:-Naona wameanza mambo yao kuelekea uchaguzi mkuu.
Kazi ipo...))
Ni vizuri hao watu waliohusika wakamatwe na wanyongwe tu.
Hiyo ni Tisha Tisha style 😂Wenzake walikua wanazielekeza risasi kwake yeye za kwake akawa anazipiga mbinguni
Ipo tofauti kubwa kati ya shambulio la Lissu na Sendeka.Akijieleza kwa Waandishi wa Ayo TV mh Ole sendeka amesema Baada ya kushambuliwa na Wasiojulikana alijibu Mapigo kwa kupiga risasi juu kwa kutumia Silaha nzito nzito na Wasiojulikana wanakimbia
Kumbe Tundu Lisu angekuwa na Silaha siku hawa Wasiojulikana walipomshambulia angeweza kuwadhibiti
Demokrasia ina gharama 🐼
Cheti? Mtu aliyepata 0 cheti anatoa wapi?Duh
Nakumbuka Prof Muhongo aliingia bungeni kashikilia Cheti cha Form Six cha Ole sendeka
Mungu wa Mbinguni na amponye Ole sendeka Christopher
Hahaaa ...kufaa kufaana. Huijui ccmMwanasiasa Ole Sendeka amenusurika risasi, taarifa imetoka na polisi wamethibitisha.
Kwa zaidi ya masaa saba hakuna mahojiano ya moja kwa moja na viongozi wake wa chama, bunge wala wanasiasa wenzake
Kwa zaidi ya masaa saba hakuna Waziri aliyepost kwenye social media account kutoa pole na kukemea, hakuna mwanasiasa wa chama chake aliyejitokeza kulaani. Ila ingekuwa msiba.............
Kwanini sisi siyo wepesi wakurespond kwenye crisis? Pole ole Sendeka.
Mnaosimamia mitandao ya kijamii akaunti za viongozi kuweni active
Lisu alifuatiliwa na gari na Ole sendeka alifuatiliwa na gari 🐼Ipo tofauti kubwa kati ya shambulio la Lissu na Sendeka.
Kweli aisee Wamemtelekeza hata kumafariji tu hakuna.Mwanasiasa Ole Sendeka amenusurika risasi, taarifa imetoka na polisi wamethibitisha.
Kwa zaidi ya masaa saba hakuna mahojiano ya moja kwa moja na viongozi wake wa chama, bunge wala wanasiasa wenzake
Kwa zaidi ya masaa saba hakuna Waziri aliyepost kwenye social media account kutoa pole na kukemea, hakuna mwanasiasa wa chama chake aliyejitokeza kulaani. Ila ingekuwa msiba.............
Kwanini sisi siyo wepesi wakurespond kwenye crisis? Pole ole Sendeka.
Mnaosimamia mitandao ya kijamii akaunti za viongozi kuweni active
Bora leo umetaja source.Akijieleza kwa Waandishi wa Ayo TV mh Ole sendeka amesema Baada ya kushambuliwa na Wasiojulikana alijibu Mapigo kwa kupiga risasi juu kwa kutumia Silaha nzito nzito na Wasiojulikana wanakimbia
Kumbe Tundu Lisu angekuwa na Silaha siku hawa Wasiojulikana walipomshambulia angeweza kuwadhibiti
Demokrasia ina gharama 🐼
Mmoja akawa na bastola ya kujilinda halafu mwingine alikuwa kashikilia laptop yenye "Call of Duty" games.Lisu alifuatiliwa na gari na Ole sendeka alifuatiliwa na gari 🐼
Kwani hakuacha mazalia chipukizi na mengine bobevu?Kwani Magufuli kafufuka
Tuliambiwa watu wake wote waliondolewa akiwemo mkurugenzi wa tissue Athuman DiwaniKwani hakuacha mazalia chipukizi na mengine bobevu?
Huyu dada anakurupuka sanaMbunge wa Simanjiro Olesendeka ashambuliwa Kwa Risasi usiku huu na watu wasiojulikana. Amefutwa na gari Kwa muda na alipofika katikati ya Ng'abolok na Irkiushi, Kibaya, gari iliyokuwa ikimfuatilia ilijifanya kama inataka kupita na ghafla kuanza kumimina risasi kadhaa kuelekea mlango wa dreva.
Olesendeka na Dreva wote wako salama. Kwa Sasa wapo Kituo cha Polisi Kibaya. Taatifa pia imeshatolewa Kwa RPC -Manyara
View: https://x.com/mariastsehai/status/1773779899175584037?s=46&t=vDlGjN3mpXpeCEHCuyoPFg
Kwani walikueleza na kukuonesha makaburi yao?Tuliambiwa watu wake wote waliondolewa akiwemo mkurugenzi wa tissue Athuman Diwani