chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Boniphace Kichonge, Kuelekea bunge kuvunjwa wameona wajisalimishe... Njaa mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakati tunaendelea kula mtori nyama tutegemee kuzikuta chini safari hii wapinzani hamna chenuPumba zinarudi kwao na mchele unabakia kwao
ni haki yake ya kikatiba tusitokwe povu
Huu NI usaliti mkubwa kwa sababu ya tumbo lake wakimdump akili itamkaa wanasiasa Malaya Malaya hawa NI mamluki tukiwapa vyeo vikubwa hawatosita kutuuza kwa Bei cheeHuyu jamaa mwaka 2010 alisababisha wanaTANDAHIMBA wengi hasara kubwa mwaka 2015 wakamshindisha ubunge leo anawasaliti.
Hakika mwaka 2020 wamakonde lazima wamsulubu
Kabisa hivi mkaguzi hizi biashara huwa anakagua taratibu za manunuzi CCM ya Sasa inaongozwa na mambumbumbuHaingii akilini mbunge aache mshahara na marupurupu kibao kisa kuunga mkono juhudi!Hapa kuna biashara endelevu inayofanyika!
Mkuu nilikuwepo 2015 tandahimba yale mabomu sitayasahau uzuri nilala lodge ya gharama gesti za kijinga zote watu walisombwa kwa mijerediWatu walipigwa mabovu virungi kisa yeye wingine hadi leo ni vilema ili apate ubunge daaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwishilia mbali.Wapinzani ni sisi wananchi.hao wanaojali matumbo yao na kuhamia CCM hawatubabaishi.
Kazi yetu akina nani?Kwisha kazi yenu.
Wote nyie.Kazi yetu akina nani?
Ok!Wote nyie.