Mbunge wangu Mwigulu umeshindwa kabisa!


Mwigulu aungane na rais wako kumfanyia kampeni ili ashinde kwa kishindo, kwani yeye hajui kuwa rais hahitaji kampeni au kura hata moja ili kuwa rais? Rais anahitaji tu jeshi linaloweza kumtii na tume ya uchaguzi itakayotangaza idadi ya kura atakazo. Kama kutakuwa na upigaji wa kura ni ili kuwazuga wazungu kwamba ameshinda kwa kura, lakini kura sio kikwazo cha yeye kutangazwa mshindi. Mazingira ya ushindi wa figisu Mwigulu anayajua vyema.
 

Mkuu hilo la tume ya uchaguzi naona ni sisi tu tunaongelea humu mitandaoni, lakini sioni vyama vya upinzani wakizungumzia hilo. Leo nimesikia wanaongelea kuhusu wito wa viongozi wa ccm huko ikulu.
 
....Nje ya madaraka Mwigulu ni sawa na kasichana ka shule ya awali! Nimeupenda huo mfano wa kweli.
 
Kwa mfano hii niliwahi kuisoma siku hizo ila sikutaka kuijibu kivyovote vile. Ila swali nililokuwa najiuliza ukiangalia Mwigulu kwenye records za Bunge Mwigulu anaonekana kuwa alizaliwa Mwaka 1975 hata juu anaonesha kuwa aliachia darasa la tano Mwaka 1985 akimaanisha kuwa wkt huo alikuwa na miaka kumi. Kwa tuliosoma miaka hiyo hiyo kitu hamna kabisa - kwamba Mwigulu alianza darasa lwa kwanza akiwa na miaka mitano. Ajabu sana! Huyu jamaa ni mjanja na mwongo sana!
 
Aaah Pascal, kupata 1st class UDSM na kuajiriwa BOT ndio kipimo cha competency yake ili kupewa kazi mashirika ya kimataifa akiomba? Kumbuka katoka lini chuoni na huko BOT, jee hii miaka baada ya BOT nini kafanya kwenye professional yake?
 
Kama gia ilibadilishwa angani na mmoja wa waliokuwa ndani ya list of shame ya Mwembe Yanga sembuse, huyu ambaye hakuwemo kwenye list hiyo!!
 
Angalia uwongo huo - Mtu azaliwe 1975 halafu Mwaka 1985 aachie darasa la tano!

 
Paskali hapa ni kama unacheza tu na maneno, sio mara moja au 2 umekuwa ukileta hizo trend readings zako kama utabiri. Hilo la kwamba uchaguzi wa mwaka huu wapinzani wanaenda kuwa dumped umelichomeka ili kuupa utetezi wako nguvu.
No kila nikiweka trends readings nasisitiza kabisa sio utabiri!




P
 
Mkuu Pythagora unauliza ninataka kusemaje hapo wakati tayari nimeishasema au ulitaka nisemeje?.
P
Hahaaa nilitaka kuona una msisitizo gani maana umetuptia quote ya ulichoandika mwaka juzi kuhusu wasiojulikana, nilitaka kuona msimamo wako ni uke ule au imebdilika? Ni hilo tu Pascal Njaa.
 
Mwigulu Malipo ya Ubaya ni hapa hapa Duniani wala sio Mbinguni Mungu ana mambo mengi ya kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa hili la kwamba hakuna mbunge wa upinzani atarudi bungeni hasa wa cdm uko sahihi sana, bila kujali ni trend readings au utabiri. Na sio kwasababu ccm wanakubalika sana ama cdm hawachaguliki, bali sababu hasa ni kwakuwa rais aliye madarakani hawezi siasa za ushindani, na ana chuki ya wazi dhidi ya cdm. Kwakuwa katiba yetu ina madhaifu, basi rais aliye madarakani anatumia nguvu yake ya kimadaraka kuamua nani awe kiongozi katika chaguzi zetu, na kwakuwa taasisi zilizopo pia zinatii kila atakacho rais bila kujali uhalali wake, basi lazima kiongozi anayemtaka rais awe ndio anayekuwa, bila kujali sauti ya box la kura. Hili wala halihitaji mjadala, kwani hizo siasa chafu kila mtu anaziona na kuzifahamu.
 
Ndugu Mayalla
Kweli yalioandikwa na mleta mada Kumbuka Mtu wa Mara,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi bado anavaa lile tambara shingoni kama alivyokuwa akijimwambafay?
 
Boss Mnambua Shilole ..... Katangaza nia ....


 
Mkuu Pascal Mayalla labda hujamuelewa hoja yake.... Anachosema yeye ww unabashiri kila kitu kwa pande zote alafu moja wapo likitick uonekane ww uliona mapema.

Mfano siku zitto anatimuliwa uliandika either zitto atapotea au Lissu atapotea..... Anyway ACT haikufurukuta 2015 so ukadai ni karma kwa zitto. Baada ya Lissu kupigwa risasi ukadai tena huenda ni karma kwa lissu kwa kumtesa zitto, bado hapo hapo uliuliza Je lissu anafaa kupambana na magufuli 2020??

Sasa ni hivi
ACT ikiwa KUB 2020 utasema ni karma kwa CHADEMA kwa issue ya zitto.

Lissu akishinda utafufua uzi uliodai anafaa kugombea u-Rais

CHADEMA ikishinda utafufua uzi wa 2011 uliodai chadema haijakua ila IMEPAA.

Yaani you predict both sides of the coins with vague,cryptic and open-ended predictions such that the probability of making a successful guess is imminent!!

tindo
 
Kama kuna mabaya alitenda kwa wanadai kulipia madaraka, akaombe msamaha watu/familia . Madaraka yanakiburi ujeuri
 
Hivi nyie mnaosena eti raising ndio ndio mwenye kuamua mustakabali wabnani awe mbuge mlitaka nani awe na kauli ya mwisho kwenye kamati ya uteuzi, kuna maana gani kuwa mwenyekiti halafu huna meno.Watu wasiokubaliana na unachokifanya wawe wabunge kuna maana gani ya wewe kuwa na power? Bunge ni sehemu ya serikali hivyo raisi lazima awe na watu wanaomsapoti na sikumuhujumu au kumpinga.Mambo Hays hayajanzia kwa magufuli bali J.K.N hivyo magu anafuata mkondo, muacheni afanye yake atakapotoka mtafanya yenu, msipangie watu wa kufanya nae kazi.
 
Wananchi wamewachoka wabunge wa kwenda bungeni wanashindwa kuwatetea wale wanaowachaguwa.Kila kitu ni kusema ndiyoo naunga mkono 100% wanatetea tumbo lao basi muda umetimia mkulima ,mfanyakazi ,wasiyojiweza,tegemea maswali yao .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…