Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Hee🤣🤣🤣
Anaweka kinyongo😂😂😂


Mimi sitaki kabisa masuala ya mbwa.

Hivi life span ya mbwa huwa inarange miaka mingapi!?
Nimekumbuka mbwa wangu wa utotoni nilimwita Simba, siku moja namlisha chakula akanipara mkono.
Hao Mbwa wapo aina kama Nne hivi jina lao kuu ni Pit Bull ila kwenye aina hizo nne ndio yupo huyo American Bulldog sio mbwa hao yapo Makampuni SA ukiwa na huyo mbwa home ukitaka kukata Bima wanakataa labda ukate bima kubwa sana nilishangaa...wanakuuliza vitu hatalishi ulivyonavyo ukitaja Pit Bulldog basi hakuna Bima utaka hapo watakuzungusha tu.
 
Mimi sehemu yenye mbwa hata kwenda kusalimia sitaki.
Wabongo,nao waonekane Wana mbwa..matokeo yake ndio hayo.

Kuna hawa mbwa wanajimwaya mwaya mtaani
Yaani kukoseshana amani bila sababu.
Mbwa vyovyote atakavyokua akiwa normal hawezi kuleta matatizo kwa mtu yeyote maana Mbwa ana kawaida ya kumkazia binadamu na kumwangalia usoni aisha kusoma kama hauna madhara anaendelea na mishe zake sio wale wa ndani..
 
Mimi sehemu yenye mbwa hata kwenda kusalimia sitaki.
Wabongo,nao waonekane Wana mbwa..matokeo yake ndio hayo.

Kuna hawa mbwa wanajimwaya mwaya mtaani
Yaani kukoseshana amani bila sababu.
Wanaozagaa mitaani wengi ni koko wanakua hawana madhara,sema wana mikwara hatari na ukiwaonyesha umehofia mikwara yao umekwisha,breed za kigaidi ni aghalabu sana kuzikuta zinazagaa zagaa ovyo mitaani
 
Hao Mbwa wapo aina kama Nne hivi jina lao kuu ni Pit Bull ila kwenye aina hizo nne ndio yupo huyo American Bulldog sio mbwa hao yapo Makampuni SA ukiwa na huyo mbwa ukitaka kukata Bima wanakataa labda ukate bima kubwa sana nilishangaa...wanakuuliza vitu hatalishi ulivyonavyo ukitaja Pit Bulldog basi hakuna Bima utaka hapo watakuzungusha tu.
Eti vitu hatarishi😂😂😂
Kwahiyo wabongo wanafuga Simba bila kujijua🤣
 
Mbwa vyovyote atakavyokua akiwa normal hawezi kuleta matatizo kwa mtu yeyote maana Mbwa ana kawaida ya kumkazia binadamu na kumwangalia usoni aisha kusoma kama hauna madhara anaendelea na mishe zake sio wale wa ndani..
Ni kweli
Wengi wa mtaani hawana shida,tunapishana nao

Lakini kwanini waachwe mtaani?
Siku umebeba zako fuko la viepe mishkaki,huyu mbwa si anakupora!
 
Wanazagaa mitaani wengi ni koko wengi wanakua hawana madhara,sema wana mikwara hatari na ukiwaonyesha umehofia mikwara yao umekwisha,breed za kigaidi ni aghalabu sana kuzikuta zinazagaa zagaa ovyo mitaani
Eti breed za kigaidi😂
Inakuwaje watu wanafuga mambwa magaidi?

Mimi wa mtaani huwa siwahofii
Ila tu sipendi kuonana nao.
 
Ni kweli
Wengi wa mtaani hawana shida,tunapishana nao

Lakini kwanini waachwe mtaani?
Siku umebeba zako fuko la viepe mishkaki,huyu mbwa si anakupora!
Hawawezi Arusha naona wanaishi nao tuu mtaani tena wengine wapo mjini hapo pana sehemu ya parking ya CCM wamejaa hapo hawana zogo na mtu mbwa wanavuka Road kwa kuangalia kila upande hata huko Ngarenaro..
 
Hawawezi Arusha naona wanaishi nao tuu mtaani tena wengine wapo mjini hapo pana sehemu ya parking ya CCM wamejaa hapo hawana zogo na mtu mbwa wanavuka Road kwa kuangalia kila upande hata huko Ngarenaro..
Hatari sana


Wewe unafuga wepi Mkuu!?
 
Ukifuga mbwa unatakiwa umzoeshe watu tokea akiwa mdogo, na uwe unampa mazoezi ya kutosha, haswa mbwa wakubwa wenye nguvu.

Watu wanakariri kufuga mbwa wa kizungu fashion, kama unamnunua ili akae bandani atoke usiku tu bora uache.
Hii breed hata akuzoeee vipi.... Akiwa na Njaa na Hana chakula anacheza na wewe hata uwe unalala naye kabisa
 
Pole kwa majeruhi. Mungu awasaidie wapone. Sipendi mbwa, sijawahi hata kutamani kumfuga.
 
Hii breed tulishaonywa mara nyingi tu lakini bado hatusikii. Chukua GS wako mzuri mpe matunzo utaona kama utapata shida. Hii breed hata mimi nilishaikataa nashauri kwa mbwa wazuri ni GS na Rottweiller

Pole kwa majeruhi na wanafamilia wote.
 
Kwa hiyo maliasili wakawaua badala ya kuwapiga risasi ya usingizi wao ni kuua tu hovyo kabisa

Yaan hakuna sindano ya usingizi
Wamewapa usingizi wa milele .........hapo hawasumbui tena
 
Back
Top Bottom