Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Eti Simba😂
Zipo Nchi wamepiga marufuku sema Watanzania tunaiga iga vitu sana mimi nafuga mbwa ila wale hata bure sichukui Mbwa ukimcheleweshea chakula mara kadhaa anaweka kinyongo kama binadamu siku yeyote anaamua kukung'ata kwa kosa la majuzi hakuna Mbwa hapo ni Simba huyo...watu wapewe Elimu ya aina za Mbwa wa kufugwa sio hao Bulldog...
 
Zipo Nchi wamepiga marufuku sema Watanzania tunaiga iga vitu sana mimi nafuga mbwa ila wale hata bure sichukui Mbwa ukimcheleweshea chakula mara kadhaa anaweka kinyongo kama binadamu siku yeyote anaamua kukung'ata kwa kosa la majuzi hakuna Mbwa hapo ni Simba huyo...watu wapewe Elimu ya aina za Mbwa wa kufugwa sio hao Bulldog...
Hee🤣🤣🤣
Anaweka kinyongo😂😂😂


Mimi sitaki kabisa masuala ya mbwa.

Hivi life span ya mbwa huwa inarange miaka mingapi!?
Nimekumbuka mbwa wangu wa utotoni nilimwita Simba, siku moja namlisha chakula akanipara mkono.
 
Wazoefu wa mifugo wanasema

Kuwa mifugo kama hiyo ina mda maalumu wa kufugwa yaani ana mda maalumu wa kuwa naye hapo nyumbani kwako na akizidi huo mda anakuwa ana chukua tabia za kibinaadamu yaani anakuwa na wivu na watu wanaomfuga anakuwa na wivu kwenye chakula anataka ale kama anayemfuga au zaidi ya anayemfuga anakuwa na wivu upande wa mapenzi kama utakuwa na mpenzi wako na mapenzi yenu yatakuwa moto moto anakuwa anakuonea wivu yaani atatamani huyo mpenzi wako mke/mme wako awe naye yeye yote hayo ni kupita mda wa kuwa hapo nyumbani na wewe/nyie , mbwa wowote wale wawe wamapambo au wale wa ulinzi hali hiyo inawakuta

Wale wa mapambo huwa wanasusa na kuamua kuondoka kwenye nyumba’ mfano kama umeshawahi kusikia mbwa anatafutwa na picha watu wanaiweka mtandaoni wanaweka na ofa kwa atayempata atapewa kiasi fulani

Wale wa ulinzi uwa wanajeruhi na kuleta madhara kama hivyo

Hii ni kwa wanyama wote wanaokaribishwa nyumbani kama ulinzi au mapambo,chui,simba,mbwa,paka yeyote yule hata awe mamba ilimradi amekaribishwa nyumbani awe rafiki inatakiwa elimu itolewe kama kuna mda fulani ukishapita wapelekwe pahala pa uangalizi wa taifa wao watajua wawafanye nini? Kwani haitakiwi kuishi naye nyumbani tena

Poleni sanaa majeruhi M/Mungu atawapa na nafuu
Aisee
Hatari sana


Kuna paka hapa nyumbani,hata samaki anasusa kula.
Yaani mimi nakula maharage,Nampa samaki hataki!
Sijui ndio hajanizoea,sijui ndio anashiba panya..kwa kweli nimemchukia.
 
Back
Top Bottom