Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnawezaje kufuga mbwa wa aina hii? Mbwa ukimtazama tu unajua amechanganyikiwa, hamkumbuki mlishaji wala mwizi.
Mbwa ana misuli kama anabeba chuma hapana aisee.Jibwa kama hili unalifuga ili iweje?
View attachment 2866035
Zipo Nchi wamepiga marufuku sema Watanzania tunaiga iga vitu sana mimi nafuga mbwa ila wale hata bure sichukui Mbwa ukimcheleweshea chakula mara kadhaa anaweka kinyongo kama binadamu siku yeyote anaamua kukung'ata kwa kosa la majuzi hakuna Mbwa hapo ni Simba huyo...watu wapewe Elimu ya aina za Mbwa wa kufugwa sio hao Bulldog...Eti Simba😂
Humu mitaani kuna wanafuga rotti na bulldog sijui hawawajui madhara yake!Hao rotti ndio takataka kabisa hawafai kuna mmama nadhani ilitokea uk alikuta kala mtoto wake kimebaki kichwa linajilamba lamba
Hio midude inahitaji umakiniHumu mitaani kuna wanafuga rotti na bulldog sijui hawawajui madhara yake!
Ni Tanzania?
Hao mbwa si ndo wale waliomshambulia yule baba yake nanii hadi wakamuua?
Angalieni na mbwa wa kufuga, wengine ni chui.
Bongo wapo wengi tu,nchi nyingi hiyo breed imepigwa marufuku kufugwa ila bongo tunajiendea kivyetu vyetuUkiua sio suluhisho,kuna watanzania kibao wana mbwa kama hao.wafanyie uchunguzi ikibainika kuna madhara wapigwe marufuku kufugwa.
Hee🤣🤣🤣Zipo Nchi wamepiga marufuku sema Watanzania tunaiga iga vitu sana mimi nafuga mbwa ila wale hata bure sichukui Mbwa ukimcheleweshea chakula mara kadhaa anaweka kinyongo kama binadamu siku yeyote anaamua kukung'ata kwa kosa la majuzi hakuna Mbwa hapo ni Simba huyo...watu wapewe Elimu ya aina za Mbwa wa kufugwa sio hao Bulldog...
Bongo wapo wengi tu,nchi nyingi hiyo breed imepigwa marufuku kufugwa ila bongo tunajiendea kivyetu vyetu
DahHao rotti ndio takataka kabisa hawafai kuna mmama nadhani ilitokea uk alikuta kala mtoto wake kimebaki kichwa linajilamba lamba
Inategemea na breed,ila sana inakua miaka 12-16Hee🤣🤣🤣
Anaweka kinyongo😂😂😂
Mimi sitaki kabisa masuala ya mbwa.
Hivi life span ya mbwa huwa inarange miaka mingapi!?
Nimekumbuka mbwa wangu wa utotoni nilimwita Simba, siku moja namlisha chakula akanipara mkono.
Yah,utakuta mtu anajifugia tu mbwa kama anavyofuga kuku bila kujua breed yakeEti kivyetuvyetu 😂😂😂
AiseeWazoefu wa mifugo wanasema
Kuwa mifugo kama hiyo ina mda maalumu wa kufugwa yaani ana mda maalumu wa kuwa naye hapo nyumbani kwako na akizidi huo mda anakuwa ana chukua tabia za kibinaadamu yaani anakuwa na wivu na watu wanaomfuga anakuwa na wivu kwenye chakula anataka ale kama anayemfuga au zaidi ya anayemfuga anakuwa na wivu upande wa mapenzi kama utakuwa na mpenzi wako na mapenzi yenu yatakuwa moto moto anakuwa anakuonea wivu yaani atatamani huyo mpenzi wako mke/mme wako awe naye yeye yote hayo ni kupita mda wa kuwa hapo nyumbani na wewe/nyie , mbwa wowote wale wawe wamapambo au wale wa ulinzi hali hiyo inawakuta
Wale wa mapambo huwa wanasusa na kuamua kuondoka kwenye nyumba’ mfano kama umeshawahi kusikia mbwa anatafutwa na picha watu wanaiweka mtandaoni wanaweka na ofa kwa atayempata atapewa kiasi fulani
Wale wa ulinzi uwa wanajeruhi na kuleta madhara kama hivyo
Hii ni kwa wanyama wote wanaokaribishwa nyumbani kama ulinzi au mapambo,chui,simba,mbwa,paka yeyote yule hata awe mamba ilimradi amekaribishwa nyumbani awe rafiki inatakiwa elimu itolewe kama kuna mda fulani ukishapita wapelekwe pahala pa uangalizi wa taifa wao watajua wawafanye nini? Kwani haitakiwi kuishi naye nyumbani tena
Poleni sanaa majeruhi M/Mungu atawapa na nafuu
Itakuwa mbwa mwituUkifuga mbwa unatakiwa umzoeshe watu tokea akiwa mdogo, na uwe unampa mazoezi ya kutosha, haswa mbwa wakubwa wenye nguvu.
Watu wanakariri kufuga mbwa wa kizungu fashion, kama unamnunua ili akae bandani atoke usiku tu bora uache.
Inategemea na breed,ila sana inakua miaka 12-16
Mimi sehemu yenye mbwa hata kwenda kusalimia sitaki.Yah,utakuta mtu anajifugia tu mbwa kama anavyofuga kuku bila breed yake