mnkande 123
Member
- Nov 27, 2023
- 13
- 35
Yanii nikae na kitu chenye garama kuliko hata nikiongeza mke wa pili hizo mambo siwez asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lol! Ujue kuna wakati tu ukifika unakua unahitaji mbwa wa aina hiyo ili kuwa na uhakika wa usalama wako ukiwa ndani ya nyumba.Hii mimbwa sijui watu wanaipendea nini! Kila siku wanaua wenyeji wao ila watu bado wapo tu kuifuga.
B… isijekuwa na wewe unapenda hii mimbwa jamani! Mdakuzi
Hao wanapoteza kumbu kumbu muda wowote wanakutafunAUkifuga mbwa unatakiwa umzoeshe watu tokea akiwa mdogo, na uwe unampa mazoezi ya kutosha, haswa mbwa wakubwa wenye nguvu.
Watu wanakariri kufuga mbwa wa kizungu fashion, kama unamnunua ili akae bandani atoke usiku tu bora uache.
Nilijua tu!Lol! Ujue kuna wakati tu ukifika unakua unahitaji mbwa wa aina hiyo ili kuwa na uhakika wa usalama wako ukiwa ndani ya nyumba.
Ova
Eti kichwani hamna kitu 😂bahati ni kwamba meno ya bull dog hayana ncha kali kama german sherfad au rottweiler,meno yao yapo kama punje za mahindi,,lakini kiuhalisia bull dog hawana akili wala kumbukumbu nzuri,na ni wazito sana wakati kuwafundisha,ni mbwa niliobahatika kuwafundisha lakini kichwani hamna ki2 tofauti na german shrfad
Sasa anakuzoea halafu anapoteza kumbukumbu nawe ndio unajikuta unampigia mzluzi Kama hujashangaa kaondoka na mdomo wakoUkifuga mbwa unatakiwa umzoeshe watu tokea akiwa mdogo, na uwe unampa mazoezi ya kutosha, haswa mbwa wakubwa wenye nguvu.
Watu wanakariri kufuga mbwa wa kizungu fashion, kama unamnunua ili akae bandani atoke usiku tu bora uache.
Wamekula familia nzima kweli hawa kumbukumbu hawanaHatari sana, na Wanatabia ya kupoteza kumbukumbu
Eti Simba😂Daah watu wanafuga Simba bila kujua hao sio mbwa wa kawaida na wana nguvu mno niliwahi kuona jamaa alimfunga na mnyororo wa kawaida kwenye pick up yake nyuma akamwacha baadae yule Bulldog alitoka kama ajafungwa kitu na kuruka nje ya gari bahati nzuri aliemfata kumjeruhi alimchapa risasi bila kujiuliza ilikua maeneo ya Centurion na muhuni aliondoka kama hakuna tukio lililotokea..
Eti utalia na kusaga meno🤣Asee, Pole sana kwa familia.
Huyu sio Bulldog na sio pure Pitbull.
Huyu nahisi amecross Pitbull na Boerboel.
Pitbull ni mbwa wa kufuga kwa upendo mkubwa mno, na hautakiwi kumfanyisha aggressive training yoyote. Yeye anafundishwa obedience tu.
Ukimfanya kama mbwa wa Ulinzi niamini mimi utalia na kusaga na meno especially ukiwa na familia na watoto wadogo.
All in all kibongo bongo hatujui kuwafuga hawa jamaa, My take ni kuacha kufuga hii jamii ya mbwa.
Hao ni special kwa kuwinda wale Wild Boar [Nguruwe Pori] and they are designed to bite and to kill na sio kujeruhi tu.
Yah,marekani wamepitisha sheria hiyo wiki iliyopita.Bulldog, Pitbull hao ni baadhi ya Mbwa Kuna nchi ni marufuku kuwafuga labda Kwa kibali maalumu
[emoji23][emoji23][emoji23]bahati ni kwamba meno ya bull dog hayana ncha kali kama german sherfad au rottweiler,meno yao yapo kama punje za mahindi,,lakini kiuhalisia bull dog hawana akili wala kumbukumbu nzuri,na ni wazito sana wakati kuwafundisha,ni mbwa niliobahatika kuwafundisha lakini kichwani hamna ki2 tofauti na german shrfad
Hao rotti ndio takataka kabisa hawafai kuna mmama nadhani ilitokea uk alikuta kala mtoto wake kimebaki kichwa linajilamba lambaMbwa wa kufuga kwa ulinzi hao koko na gs,breed zingine usithubutu kuweka karibu na familia yako hasa hao bulldog na rottiweiler
Job true true[emoji23]Kaz kwel kwel
Mbwa ana aathirika kisaikolojia duhmbwa wavuta bange,,,,,,,,,,,mbwa ana gubu kushinda mwajuma ,umcheleweshee msosi kidogo tu anavurugika, mbwa ana mood za ajabu ajabu
Badili mwaka weka 2024Usiku wa kuamkia leo Tarehe 8/1/2023 majira ya saa Nne usiku Familia ya Ndugu Nicholaus Kunju ilishambuliwa na Mbwa na kuisababishia madhara Kwenye sehemu mbalimbali za miili yao,walio shambuliwa ni Mke wake pamoja na watoto.
View attachment 2865985
Walikuwa Mbwa aina ya Bull dog ambao anawafuga kwa ajili ya ulinzi nyumbani kwake Usagara, Mbwa hao walimshambulia binti yake wakati ametoka nje usiku huo wa saa Nne akiwa amesindikizwa na kaka yake, mara baada ya uvamizi huo kijana mwingine na mama yao walitoka kutoa msaada lakini Mbwa hawakuwatii na kuwashambulia wote.
Wote walioshambuliwa na Mbwa sio wageni kwa Mbwa hao kwani wamekuwa wakiwahudumia kwa chakula, baada Familia hiyo kujinusuru na kukimbilia ndani Mbwa waliendelea kuwa wakali na hapakuwa na uwezekano wa kuwapatia huduma majeruhi kwani hakuna alieweza kuingia wala kutoka ndani ya uzio.
Wakati haya yanatokea Kunju alikuwa kazini zamu ya usiku na alipigiwa simu kujulishwa juu ya tukio huku na kuambiwa mmoja wa majeruhi ana hali mbaya, Tulibahatika kufanya mawasiliano na Polisi kituo cha Misungwi ili waweze kufika eneo la tukio waue Mbwa ili msaada kwa majeruhi Upatikane.
Kwa ushirikiano na Zombwe na Lenox tulifanikisha kumtoa Kunju Kazini ili akashiriki uokoaji. Polisi walifika Nyumbani kwa Kunju majira ya saa saba usiku wakitanguliwa na watu wa Maliasili na wafanikiwa kuwapiga risasi Mbwa wote wawili na Majeruhi wakapelekwa Hospilali ya Cf kwa Matibabu.
Majeruhi wote wanaendelea vizuri, Shukrani kwa wote walioshiriki Kwenye utatuzi bila kumsahau Sheik Abdallah Omari.
C & P FROM X
- Pdizaina05