cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Bas hili hapa kuna nyumba masaki wanafuga yapo mawili, jamanuu nilitetemeka mwili mzima. Sitaki hata kuyaona.Jibwa kama hili unalifuga ili iweje?
View attachment 2866035
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bas hili hapa kuna nyumba masaki wanafuga yapo mawili, jamanuu nilitetemeka mwili mzima. Sitaki hata kuyaona.Jibwa kama hili unalifuga ili iweje?
View attachment 2866035
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usingi ili iweje? Washambulie wakiamka!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka ng'ombe wetu alikua dume, lilikua kali hilo. Sasa kuna siku nachunga si nikawa namzuia asiende upande wa pili, wee asinigeuke alinitimua mbio.Hata ng'ombe kuna mmoja alishawahi kumuua Boss wake huko kijijini
Wengine wanakuwa na visirani na kuna mmoja ashawahi kunitimua mbio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nacheka mbavu cna woiii.mbwa wavuta bange,,,,,,,,,,,mbwa ana gubu kushinda mwajuma ,umcheleweshee msosi kidogo tu anavurugika, mbwa ana mood za ajabu ajabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu, sisi tubaki na hawa hawa akija mgeni anabweka huku mkia keshaubana matakoni[emoji1787][emoji1787]
Inafaa kwa kupambana na wale vijana majambazi na wahuni (panya road) wanaovamia makazi ya watuHii brand sio kabisa[emoji3]
Hii breed ya ajabu sana wanabadilikaga bila kutegemeaMbwa ana aathirika kisaikolojia duh
Fuatilieni, haya mambwa yameshapigwa marufuku katika nchi nyingi duniani. Ukifuga upate kibali na unalikatia bima ya third party.Kwani hawakuwa na risasi za kuwafanya wasinzie hawa maliasili.
Sema haya mabulldog inaelekea si ya kuyaamini maana nishasikia story nyingi za hata kuwageuka wenye nayo
Majibwa yote ya aina ya Mastiff hayafai. South African Mastiff anaitwa Boerboel ni noma sana.Kwa haraka haraka nahisi hawa ni south african mastiff, wakali sana wanahitaji mmiliki mzoefu, wanafikisha kilo 70, 80 wana nguvu balaa ni waharibifu....
Reference:Hii breed hata akuzoeee vipi.... Akiwa na Njaa na Hana chakula anacheza na wewe hata uwe unalala naye kabisa
Huyu ni Pitbull hawa hawafundishi ni breed ambayo ina akili ya hovyo kama binti mcharuko. Huyo mbwa anaweza kengeuka dakika yoyote akashambulia hata mtu ambaye kila siku huwa anacheza nae na anamfahamu.Ukifuga mbwa unatakiwa umzoeshe watu tokea akiwa mdogo, na uwe unampa mazoezi ya kutosha, haswa mbwa wakubwa wenye nguvu.
Watu wanakariri kufuga mbwa wa kizungu fashion, kama unamnunua ili akae bandani atoke usiku tu bora uache.
Usingizi wa nini? Ili wakiamka waje washambulie tena?Kwa hiyo maliasili wakawaua badala ya kuwapiga risasi ya usingizi wao ni kuua tu hovyo kabisa
Yaan hakuna sindano ya usingizi
Sio Bull dog hao, ni PitbullKwani hawakuwa na risasi za kuwafanya wasinzie hawa maliasili.
Sema haya mabulldog inaelekea si ya kuyaamini maana nishasikia story nyingi za hata kuwageuka wenye nayo