Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka ng'ombe wetu alikua dume, lilikua kali hilo. Sasa kuna siku nachunga si nikawa namzuia asiende upande wa pili, wee asinigeuke alinitimua mbio.

Baadae walilichinja, maana angeleta hasara.
Pole 🤣🤣🤣
Hawa viumbe sio wa kuwaamini
 
Nilipokua.kijana mdogo kwetu nimefuga sana mbwa hawa wa kawaida.Sasa hivi nimekua baba wa familia nimefuga Germany Shephard...jike..ana miaka 2 sasa.Nimekuja kugundua kuna utofauti mkubwa sana nikilinganisha na hawa wengine....yuko composed, hapanick, habweki ovyo ovyo, royal.muda wote anakuangalia straight machoni kama vile anasubiri umwambie kitu.Akibweka mishindo miwili tu mtu wa kawaida lazima a-feel.
Nawaza nitafute Rotweiler dume, nimix
Bomu unalotaka kulitengeneza litakubomokea mwenyewe
 
Aisee
Hatari sana


Kuna paka hapa nyumbani,hata samaki anasusa kula.
Yaani mimi nakula maharage,Nampa samaki hataki!
Sijui ndio hajanizoea,sijui ndio anashiba panya..kwa kweli nimemchukia.
Umenikumbusha mkuu kuna paka mmoja hivi mkubwa nilipewa kama zawadi na mmama mmoja wa kijeruman akawa anasema mbwa mzuri sana anafaa kwa pambo nikamchukua yule paka alikuwa anarusha mashambuliz akiona watu mfano umekaa unaangalia TV unashangaa paka huyu hapa kakurukia akuparue mda mwingne anaparua sofa zote ilibid nimrudishe

Sent from my A004SH using JamiiForums mobile app
 
Wazoefu wa mifugo wanasema

Kuwa mifugo kama hiyo ina mda maalumu wa kufugwa yaani ana mda maalumu wa kuwa naye hapo nyumbani kwako na akizidi huo mda anakuwa ana chukua tabia za kibinaadamu yaani anakuwa na wivu na watu wanaomfuga anakuwa na wivu kwenye chakula anataka ale kama anayemfuga au zaidi ya anayemfuga anakuwa na wivu upande wa mapenzi kama utakuwa na mpenzi wako na mapenzi yenu yatakuwa moto moto anakuwa anakuonea wivu yaani atatamani huyo mpenzi wako mke/mme wako awe naye yeye yote hayo ni kupita mda wa kuwa hapo nyumbani na wewe/nyie , mbwa wowote wale wawe wamapambo au wale wa ulinzi hali hiyo inawakuta

Wale wa mapambo huwa wanasusa na kuamua kuondoka kwenye nyumba’ mfano kama umeshawahi kusikia mbwa anatafutwa na picha watu wanaiweka mtandaoni wanaweka na ofa kwa atayempata atapewa kiasi fulani

Wale wa ulinzi uwa wanajeruhi na kuleta madhara kama hivyo

Hii ni kwa wanyama wote wanaokaribishwa nyumbani kama ulinzi au mapambo,chui,simba,mbwa,paka yeyote yule hata awe mamba ilimradi amekaribishwa nyumbani awe rafiki inatakiwa elimu itolewe kama kuna mda fulani ukishapita wapelekwe pahala pa uangalizi wa taifa wao watajua wawafanye nini? Kwani haitakiwi kuishi naye nyumbani tena

Poleni sanaa majeruhi M/Mungu atawapa na nafuu
Sasa nimejua kwanini paka wangu ananiangalia kwa dharau sana

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu sio hao sijui Bulldog/pitbull. Hao ni mbwa wa hovyo kabisa kufuga na anayefuga huwa namshangaa sana. Yaani huwa sijui wanapataga wazimu maana kikinuka hata wewe mfugaji mwenyewe wanakujeruhi kama sio kukuua kabisa. Nikijua una hao mbwa kwako hautaniona milele hata uwe ndugu yangu wa damu siji kabisa. Mbwa gani ukikaa na mwenyeji anakuwa mpole kabisa anachezesha tu mkia kama rafiki subiri sasa mwenyeji ajisahau aingine ndani labda kuchukua simu yake inaita wee akirudi anakuta unavuja damu.
Hiyo mimbwa siyo ya kufuga. Nina jirani yangu yalitaka kumpeleka kuzimu!!! Yalimshambulia majibwa manne!!! Imagine yeye ndiye alikuwa anayalisha, anacheza nayo na kufanya kila kitu!!!


But siku isiyo na jina yalimshambulia kidogo yamuue!!! Alilazwa hospital miezi miwili yuko kwenye coma!!!
 
Mimi na kambwa koko kangu nilikanunua sasa nikawa nakatrain kwa kukapiga na kukapa mateso kama walimu wa mbwa wa jamiiforums walivyosema , ajabu kalipopata mpenyo wa kutoka getini hili ni juma la tano hakajarudi nyumbani nikimuona mtaani ni mwendo wa mbio tu [emoji848]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mnaoongea hizi pumbaa hamuwajui hawa mbwa aina ya BULLDOG yani hata ulalae nae toka anazaliwa kuna siku haina jinaa atakufanya kitu kama hakujuii huwa wanapata wazimu sijui...!
Ungesoma nilichojibu na kuangalia Majibu yangu kwenye huu mjadala nafikiri usingekurupuka kujibu .....Rudi angalia niliyemjibu alikuwa ameandika Nini... Muwe mnasoma kuelewa sio mnasoma kujibu ...na msome aliyejibu alijibu(aliquote Nini).... Niliyemjibu ni Oppomall ambaye alisema " Hao mbwa wangepelekwa polisi wakafunzwe" ..ndio nikamjibu " samaki mkunje ingali mbichi " wanapelekwaje polisi kufundishwa wakiwa wakubwa hivyo ... !!? Pia, nilikoment mwanzo kabisa kabla ya hicho ulichosema nilisema mwanzo " hao mbwa hata uwazoee vipi hata kama unalala nao" .... Wakicharuka wanacheza na wewe.... Sasa sijui UMEKULA MAHARAGE YA WAPI .... kurupu... Punguzeni ujuaji..soma kuelewa alichoandika mtu na ufuatlilie michango yake katika mjadala husika.....
 
Mnaoongea hizi pumbaa hamuwajui hawa mbwa aina ya BULLDOG yani hata ulalae nae toka anazaliwa kuna siku haina jinaa atakufanya kitu kama hakujuii huwa wanapata wazimu sijui...
Shida ya watu wengi wanakurupuka tu kuanza kufuga bila kujua aina salama ya mbwa wa kufugwa majumbani. Yaani hao sio mbwa kabisa na sio uongo hata ulale naye kitanda kimoja ipo siku tu lazima atakudhuru tu. .
 
Back
Top Bottom