Wazoefu wa mifugo wanasema
Kuwa mifugo kama hiyo ina mda maalumu wa kufugwa yaani ana mda maalumu wa kuwa naye hapo nyumbani kwako na akizidi huo mda anakuwa ana chukua tabia za kibinaadamu yaani anakuwa na wivu na watu wanaomfuga anakuwa na wivu kwenye chakula anataka ale kama anayemfuga au zaidi ya anayemfuga anakuwa na wivu upande wa mapenzi kama utakuwa na mpenzi wako na mapenzi yenu yatakuwa moto moto anakuwa anakuonea wivu yaani atatamani huyo mpenzi wako mke/mme wako awe naye yeye yote hayo ni kupita mda wa kuwa hapo nyumbani na wewe/nyie , mbwa wowote wale wawe wamapambo au wale wa ulinzi hali hiyo inawakuta
Wale wa mapambo huwa wanasusa na kuamua kuondoka kwenye nyumba’ mfano kama umeshawahi kusikia mbwa anatafutwa na picha watu wanaiweka mtandaoni wanaweka na ofa kwa atayempata atapewa kiasi fulani
Wale wa ulinzi uwa wanajeruhi na kuleta madhara kama hivyo
Hii ni kwa wanyama wote wanaokaribishwa nyumbani kama ulinzi au mapambo,chui,simba,mbwa,paka yeyote yule hata awe mamba ilimradi amekaribishwa nyumbani awe rafiki inatakiwa elimu itolewe kama kuna mda fulani ukishapita wapelekwe pahala pa uangalizi wa taifa wao watajua wawafanye nini? Kwani haitakiwi kuishi naye nyumbani tena
Poleni sanaa majeruhi M/Mungu atawapa na nafuu