Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Huna adabu na hivyo basi nakupa radhi we mtoto ukose mema ya ulimwengu mjaalaana laqum wadhayani mkulani khayafik toufiq.Wewe ndio kichwa kizito kuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna adabu na hivyo basi nakupa radhi we mtoto ukose mema ya ulimwengu mjaalaana laqum wadhayani mkulani khayafik toufiq.Wewe ndio kichwa kizito kuelewa
Sio south Africa ni Zimbabwe. Yule jamaa ndio hawa hawa wasiojua kukaa na haya maumbwa alikuwa anaishi nayo kwa namna za hovyo sana.Haya si ndiyo yalimwua mwanasoka wa zamani wa Zambia kule South Africa? Mnafuga madude gani haya? Bwana mdogo naye liliwahi kumgeuka bahati yake mafunzo ya kijeshi yakamwokoa akalidhibiti kama anadhibiti gaidi kwenye vita! Ilikuwa hatari sana!
Utafiti kugundua nini tena na tayari yameshavurugwa hayo. Yakisha shambulia mtu especially familia ya Master wao hakuna mtu mwingine yatatii.Wangechukuliwa na polisi kwa mafunzo na utafiti siyo kukimbilia kuwaua tu
Tena ndani ya dakika tano tu anakuchenjia.Ndugu sio hao sijui Bulldog/pitbull. Hao ni mbwa wa hovyo kabisa kufuga na anayefuga huwa namshangaa sana. Yaani huwa sijui wanapataga wazimu maana kikinuka hata wewe mfugaji mwenyewe wanakujeruhi kama sio kukuua kabisa. Nikijua una hao mbwa kwako hautaniona milele hata uwe ndugu yangu wa damu siji kabisa. Mbwa gani ukikaa na mwenyeji anakuwa mpole kabisa anachezesha tu mkia kama rafiki subiri sasa mwenyeji ajisahau aingine ndani labda kuchukua simu yake inaita wee akirudi anakuta unavuja damu.
Wanakazi ya kuwaua si wanaua sana wanyama.Mali asili walifuata nini?
Nimevuta picha hapa anajibwekesha dah nimecheka balaa.Ila watu mna visiran eti ubweke mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimevuta picha hapa anajibwekesha dah nimecheka balaa.Ila watu mna visiran eti ubweke mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu anakwambia "usiogope hawa mbwa ni wazuri na hawana shida na wapo very friendly" mxiem matako yake.Hilo mbona jasusi kabisa[emoji15]
Yesu wangu[emoji33] hadi mwili umesisimka
Achana na hiyo takataka pia, huyo Rottweiler ndio binamu na hawa pitbull sio majibwa mazuri. Achana na hiyo breed utakuja jutia. Juzi hapa kamrarua demu wa Master wake sababu ya wivu.Nilipokua.kijana mdogo kwetu nimefuga sana mbwa hawa wa kawaida.Sasa hivi nimekua baba wa familia nimefuga Germany Shephard...jike..ana miaka 2 sasa.Nimekuja kugundua kuna utofauti mkubwa sana nikilinganisha na hawa wengine....yuko composed, hapanick, habweki ovyo ovyo, royal.muda wote anakuangalia straight machoni kama vile anasubiri umwambie kitu.Akibweka mishindo miwili tu mtu wa kawaida lazima a-feel.
Nawaza nitafute Rotweiler dume, nimix
Kwann mnawaita Bull dog, hao ni jamii ya Pitbull, bull dog wapole sana mbona.hatari sana hata wale rotwellers nao sio mchezooo...!! ila bulldog ni full stop sio wa kufugaaa kabisa
Ukimkuta mjuaji anakwambia huyu mbwa yupo vema na anaweza hata kucheza na watoto.Jimbwa lina sura mbaya unafuga ili ugundue nini,haya mambo ya kuiga iga haya.Bora angefugwa jimbwa koko nalo lingemlinda tu.
Tatizo la mikoko hata uilishe vizuri namna gani lazima wapite jalalani [emoji2957]
Basi wewe labda utakuwa unamfahamu mwingine tofauti na huyu wa kwangu ninayemzungumzia. Philemon Mulala alikuwa anaishi South Africa. Soma hicho kipande.Sio south Africa ni Zimbabwe. Yule jamaa ndio hawa hawa wasiojua kukaa na haya maumbwa alikuwa anaishi nayo kwa namna za hovyo sana.
Kafie mbele na radhi zakoHuna adabu na hivyo basi nakupa radhi we mtoto ukose mema ya ulimwengu mjaalaana laqum wadhayani mkulani khayafik toufiq.
[emoji101][emoji102]
Mtu anakwambia "usiogope hawa mbwa ni wazuri na hawana shida na wapo very friendly" mxiem matako yake.