Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Haya si ndiyo yalimwua mwanasoka wa zamani wa Zambia kule South Africa? Mnafuga madude gani haya? Bwana mdogo naye liliwahi kumgeuka bahati yake mafunzo ya kijeshi yakamwokoa akalidhibiti kama anadhibiti gaidi kwenye vita! Ilikuwa hatari sana!
Sio south Africa ni Zimbabwe. Yule jamaa ndio hawa hawa wasiojua kukaa na haya maumbwa alikuwa anaishi nayo kwa namna za hovyo sana.

Alikuwa analeta nayo mizaha ya hovyo na kuyafunza kiburi yakamrudia. Mfano alikuwa na tabia ya kuleta wanyama kama mbuzi halafu anayafungulia yakamate yule mbuzi yamuue in cold blood yaani ile kumrarua mbuzi kiroho mbaya.

Sasa michezo kama ile unayafunza kufanya fujo, kutokuwa na adabu,kuwa makatili, kutokuwa na mipaka na kukosa utii.

Ndio maana hiyo siku alikuwa anayazingua yenyewe yakageuza mchezo kuwa jambo serious yakamrukia na kumuangusha chini yakakamata shingo yakauma hadi alipokata roho.
 
Tena ndani ya dakika tano tu anakuchenjia.
 
Achana na hiyo takataka pia, huyo Rottweiler ndio binamu na hawa pitbull sio majibwa mazuri. Achana na hiyo breed utakuja jutia. Juzi hapa kamrarua demu wa Master wake sababu ya wivu.
 
Sio south Africa ni Zimbabwe. Yule jamaa ndio hawa hawa wasiojua kukaa na haya maumbwa alikuwa anaishi nayo kwa namna za hovyo sana.
Basi wewe labda utakuwa unamfahamu mwingine tofauti na huyu wa kwangu ninayemzungumzia. Philemon Mulala alikuwa anaishi South Africa. Soma hicho kipande.
 

Attachments

  • Screenshot_20240111-054927_Chrome.jpg
    169.8 KB · Views: 11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…