Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Pole sana.
Nimeiona video nyingine kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha mbwa wa aina hiyo wakimshambulia mwanafamilia na ndugu wakijaribu kumnasua bila mafanikio na jamaa kachakazwa balaa.
 
Kibongo bongo tafuta gs wako mfuge haya mambwa mengine ni hatari yanahitaji mtu makini na asie na mambo mengi tunaiga sana vitu ila uwezo hatuna siongelei uwezo wa fedha ila hata mafunzo hatuna sasa balaa kama hilo ni hatari...... Mbwa wazuri sana ila hatari...
 
Mim hawa mbwa koko tu nawaogopa,familia yny mbwa hata km ni rafik zng sana,siitembelei ,naogopa mbwa mno ,sasa sembuse hayo ma bulldog cjui ingekuaje,ningekimbia nyumba,mme angenifata kwetu na watoto
 
Wale ni loaded gun, na Wana wivu sana sana ...na Wana visasi kuliko binadamu. Na hawarudi nyuma kwenye visasi Hata ikipita miaka mingapi watalipiza tu!!! Hawana kitu msamaha!!!
Hii ya wivu nshaiski mahala, kuna jamaa alikuwa analifuga tena sio kwa kulifungia bandani kashalizoea huwa anacheza nalo, sasa maisha yanaendelea akabahatika kupata mtoto hivyo muda mwingi ye akawa anatumia kucheza na mtoto mbwa akawa kampotezea kwa mbali.
Kumbe jibwa linaona wivu lishammaindi mtoto siku wamejiachia limemlia timing likamtafuna mtoto mpaka akafa.
Jamaa akaingia ndani akachukua cha moto akalitwangaa za kichwa likafa.
 
Hahaha...nimesoma sehemu hawa Rottweiler miaka ya nyuma majeshi-polisi..walijaribu kuwatumia changamoto
1.Ni wakubwa sana na wazito.
2.Bitting force kubwa..walikua wakikamata mualifu..wakiuma mkono.wanavunja mpaka mfupa..damage zikawa kubwa sana..

Kwa michango ya humu naachana na Rott..nabaki na GS....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…