Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

bahati ni kwamba meno ya bull dog hayana ncha kali kama german sherfad au rottweiler,meno yao yapo kama punje za mahindi,,lakini kiuhalisia bull dog hawana akili wala kumbukumbu nzuri,na ni wazito sana wakati kuwafundisha,ni mbwa niliobahatika kuwafundisha lakini kichwani hamna ki2 tofauti na german shrfad
 
Mzee Kingunge naye alikumbwa na mkasa kama huu, ila kwa Misungwi huenda walikuwa mbwa mtu usishanga siku chacche kuwaona mbwa wamerejea wakiwa wazima na furaha
 
Cheki dude hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…