Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Ndoa siyo mbaya ukipata mwenza anayekupenda kuliko wewe unavyompenda...na wewe unayependwa uwe unajua thamani yako kwake. Vinginevyo mtaishia kulaumiana tu - especially nowdays!
Ni kweli ila huyo anayependa zaidi awe mwanamke na si kinyume chake. Wanawake hawapendi mushy males kama ilivyokuwa kwa MC chilli sauce
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…