Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Kweli bro????Hakutaka kusikia acha yamkute siku ya harusi yake Mama yake alifariki bado akawa kichwa ngumu
Bi mkubwa alidanji???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli bro????Hakutaka kusikia acha yamkute siku ya harusi yake Mama yake alifariki bado akawa kichwa ngumu
Okoa kibunda .NDoa ni utapelii ulio changamka, ogopa mkataba batili
Lakini pilipilo ndo kazaa nje kabla ya mkewe na video aliwa na mchepulo zipoTulijua hili lingetokea. Mwamba alionyesha wazi kua yeye ndio kampenda zaidi mwanamke kuliko mwanamke alivyompenda yeye.
Alionyesha wazi kua yeye ndiye aliyekua anahitaji sana ndoa kuliko mwanamke alivyokua anaihitaji. Kwa kifupi tu ni kwamba he was a simp! Women never get along with simps!!!
Wazee wa kataa ndoa wanaupiga mwingi... hapa JF wanaoonewa sana ni single maza. 😄Na huku moto umepamba moto 👇
Kataa ndoa ni hazina ya kesho
Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno. Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka. swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia. maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana. Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN, 02...www.jamiiforums.com
Yule mwanaharamu bora ninyongwe.We unaweza kurudiana na yule bf wako ulietoka nae form 6?😁
Huwa namfanisha jamaa na Ben Paul.Hili kabila pia ni tatizo
kvp? Kitabia, hulka ama mwonekano kwamba ni pisi kali?Ila yule dada haendani kabisa na jamaa
Kuna wakati ubandidu kiasi unahitajika kwenye mahusiano, hawa wenzetu wakishakuona umekufa umeoza baadhi yao(siyo wote) huanza kukuendesha watakavyo.Mbona toka Jana anampost mkewe kumuwish happy birthday?
...watakuwa wamerudiana,sema jamaa ana shobo na yule manzi,hadi anaboa.. that's y demu anampelekesha atakavyo.
Natamani nijue jibu atakalotoakvp? Kitabia, hulka ama mwonekano kwamba ni pisi kali?
😁😁😁😁😁😁😁 ndio uone jinsi ilivyo kazi ku deal na mwanamke ambaye hakuelewiYule mwanaharamu bora ninyongwe.
hivi yule mtumishi wa "mungu" masanja bado yupo na mkewe, na bado anampost insta?Mbona toka Jana anampost mkewe kumuwish happy birthday?
...watakuwa wamerudiana,sema jamaa ana shobo na yule manzi,hadi anaboa.. that's y demu anampelekesha atakavyo.
Kama weweMke wake ni M cute😍😍. Warudiane tu
Nimeipenda sana signature yako.Wakuu wenzangu NDOA NI NINI?
Na yeye ni saula la muda tu. Wanawake hawajawahi kudumu na wanaume ma simps!!!Unamzungumzia Haji manara au?