bujiku6169
Member
- Aug 14, 2015
- 97
- 12
Kwel ndugu zangu tunatakiwa na akiba ya maneno ,, ametangulia yeye sasa , rip mchungaj mtikila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili litakuwa ni funzo kwa walio hai,
Alianza Komba kwa kumtukana Mzee Warioba alisema ni Mzee anayesubiri kufa tu ndio maana katuletea katiba yake kafa yeye kamuacha mzee wa watu,
Tunakuja kwa Celina Kombani wakati Lowassa anahama ccm alisema bora hata uhame usije ukatuifia ccm bure na Ikulu si pakupeleka wagonjwa, kafa yeye kamuacha Lowassa,
Mtikila trh 25 star tv,
Alisema Ikulu si ICU hao waliomchukua kwann wasimchangia hele aende akatibiwa Israil, Watz hawawezi kumpeleke Ikulu Mgonjwa,
Nasema tujifunze kuwa na lugha nzuri kwa wenzetu Afya na uhai wa Mwanaadam ni Mungu pekee ndio anajua haya kafa yeye kamuacha Lowassa,
Tafakari na chunga Mdomo wako haya ni maisha tu na tunapita usimuhukumu mwenzako kwa mabaya haliyakuwa ww unapumua huku Dunian.
Siamini kupitia nguvu za giza ni Mungu pekee ndiye muweza wa yote. Inaonyesha unaamini juu ya ushirikina na ndio maana akili yako imeathirika na hayo.
picha ninayo ila naogopa kuiweka hapa nipm unipe namba yako ya whatsupp nikutumie.mkuu weka picha
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
Mhh alikuwa anaenda sasa hivi au?
Only God can judge me!!
Pelekeni upumbavu wako Freemason lenu linawamaliza wapinzani wake,kisa ikulu,mbwa kabisa,
Serikali ifanye uchunguzi mkubwa ili kubaini chanzo cha ajali iliyopoteza maisha ya Mwenyekiti wa chama cha dp mch Christopher mtikila hasa katika kipindi hiki kigumu cha uchaguzi. R.I.P MTIKILA