Ni tatizo lkn naye ameishaonja machungu kwa alichokifanya, ukimya huwa hausaidii sanasana unakuongezea stress kwa uliyoyafanya na ambayo hukuyafanya, ni bora ukafunguka ukauachia moyo upumue.Ni kwamba waarabu wamepewa taarifa ila bado hawajakubaliana katka upande wao na yawezekana wakaja kivingine kwa kampuni nyingine, hivyo vitu kukamilika vinahitaji muda.Mmeambiwa dawa ni kuwakalia kimya TU.
Tutapiga kelele lakini mamlaka haiwajibu yenyewe itatenda TU.
Huu mkataba ushapitishwa muda utasema.
Na tumeambiwa hakuna mwenye mabavu.
"Kanisa halipingi uwekezaji, lakini ni lazima uwekezaji huo uwe kwa maslahi ya taifa na wananchi waridhike nao. Wananchi wana haki ya kutoa maoni na viongozi wa dini tukiona mambo hayaendi, ni wajibu wetu kushauri na kukemea. Na tunapofanya hivyo msituambie tunachanganya dini na siasa" Askofu Fredrick Shoo, Mkuu wa KKKT.Ukombozi wa pili taifa la Tanganyika utatokea Mbeya, Singida na Kilimanjaro bila shaka..
Huyu mchungaji anaitwa Mbarikiwa Mwakipesile. Anatoka Mbeya. Hajulikani sana ktk harakati za kupugania HAKI..
Lakini ni huyu ni kamanda kwelikweli. Ni jasusi la mbinguni. Wengine wanatumia mahakama, mikutano ya kisiasa kama silaha za kupambana na dhuluma...
Lakini Mch Mbarikiwa Mwakipesile anatumia silaha kali na hatari zaidi kupambana na dhuluma toka Kwa mamlaka za serikali za kidunia. Silaha hizo ni MAOMBI na NENO LA MUNGU..
Hapa anapangua kombora lililorushwa na Jakaya Kikwete la kuchanganya dini na siasa. Bila shaka Kikwete hakueleweka. Hata mimi sikumwelewa aisee..
JK ni mtu wa dili hivyo hataki dili zake ziguswe, familia yote ipo bungeni inatafuna pesa za ummaUkombozi wa pili taifa la Tanganyika utatokea Mbeya, Singida na Kilimanjaro bila shaka..
Huyu mchungaji anaitwa Mbarikiwa Mwakipesile. Anatoka Mbeya. Hajulikani sana ktk harakati za kupugania HAKI..
Lakini ni huyu ni kamanda kwelikweli. Ni jasusi la mbinguni. Wengine wanatumia mahakama, mikutano ya kisiasa kama silaha za kupambana na dhuluma...
Lakini Mch Mbarikiwa Mwakipesile anatumia silaha kali na hatari zaidi kupambana na dhuluma toka Kwa mamlaka za serikali za kidunia. Silaha hizo ni MAOMBI na NENO LA MUNGU..
Hapa anapangua kombora lililorushwa na Jakaya Kikwete la kuchanganya dini na siasa. Bila shaka Kikwete hakueleweka. Hata mimi sikumwelewa aisee..
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaKuna sehemu walisaini mkataba lakini ikibidi DP World ateme ndoano!
Malalamiko yaliyopo Ngorongoro yatakuwa ni nafuu!
Pole sana Bandari ndio hiyo imeendaMama abdul mswahili haswaaaaaa mie nimeona taarabu Tu Hana jipya japo moyo unamdunda
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaMkataba Hapana
Pole sana Bandari ndio hiyo imeendaNi tatizo lkn naye ameishaonja machungu kwa alichokifanya, ukimya huwa hausaidii sanasana unakuongezea stress kwa uliyoyafanya na ambayo hukuyafanya, ni bora ukafunguka ukauachia moyo upumue.Ni kwamba waarabu wamepewa taarifa ila bado hawajakubaliana katka upande wao na yawezekana wakaja kivingine kwa kampuni nyingine, hivyo vitu kukamilika vinahitaji muda.
Iende wapi presha inapanda na kushuka miezi ndio hiyo yayoyomaPole sana Bandari ndio hiyo imeenda
Hakuna bandari inayouzwa Tanganyika wewe!Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
Muhimu ni kuendeleza harakati...Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
Muhimu ni kuendeleza harakati...Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
Sina taarifa ya kushikiliwa ndege yetu ila kama hili lina ukweli huenda kuna kishika uchumba ambacho mwarabu ameshatanguliza, iwe ni kupitia kulambisha watu asali au msaada wa namna fulani wa kinchi ukiwa na masharti kwamba apewe bandari, patamu hapo.Sasa kwa nini wanaendelea kushikiliwa ndege yetu? Hawa Waarabu hawana rafiki kabisa. Kama wanashika ndege yetu leo, huko mbele si ndiyo satatunyonyoa kabisa bila hata maji!?
Ukombozi wa pili taifa la Tanganyika utatokea Mbeya, Singida na Kilimanjaro bila shaka..
Huyu mchungaji anaitwa Mbarikiwa Mwakipesile. Anatoka Mbeya. Hajulikani sana ktk harakati za kupugania HAKI..
Lakini ni huyu ni kamanda kwelikweli. Ni jasusi la mbinguni. Wengine wanatumia mahakama, mikutano ya kisiasa kama silaha za kupambana na dhuluma...
Lakini Mch Mbarikiwa Mwakipesile anatumia silaha kali na hatari zaidi kupambana na dhuluma toka Kwa mamlaka za serikali za kidunia. Silaha hizo ni MAOMBI na NENO LA MUNGU..
Hapa anapangua kombora lililorushwa na Jakaya Kikwete la kuchanganya dini na siasa. Bila shaka Kikwete hakueleweka. Hata mimi sikumwelewa aisee.
Kwani yeye Kikwete alifuata nini kwa Wasabato il hali yeye ni kiongozi wa siasa?Ukombozi wa pili taifa la Tanganyika utatokea Mbeya, Singida na Kilimanjaro bila shaka..
Huyu mchungaji anaitwa Mbarikiwa Mwakipesile. Anatoka Mbeya. Hajulikani sana ktk harakati za kupugania HAKI..
Lakini ni huyu ni kamanda kwelikweli. Ni jasusi la mbinguni. Wengine wanatumia mahakama, mikutano ya kisiasa kama silaha za kupambana na dhuluma...
Lakini Mch Mbarikiwa Mwakipesile anatumia silaha kali na hatari zaidi kupambana na dhuluma toka Kwa mamlaka za serikali za kidunia. Silaha hizo ni MAOMBI na NENO LA MUNGU..
Hapa anapangua kombora lililorushwa na Jakaya Kikwete la kuchanganya dini na siasa. Bila shaka Kikwete hakueleweka. Hata mimi sikumwelewa aisee..
Amen [emoji1666]Yeye na wewe mko ktk ulimwengu tofauti. Huwezi kuelewa haya. Nuru na giza haviwezi kupatana. Wewe ni sehemu ya giza (ukosefu wa uelewa na ufahamu). Pole sana..
Unaweza kuwa wewe ndiwe hasa mgonjwa wa akili huku ukijidhania kuwa una hekima na nguvu kumbe ni kopo tupu kichwani..
Watu kama wewe walikuwepo hata kule Korintho ya kale.
Lakini Mtume Paulo katika waraka wake wa kwanza kwa Wakorintho, anakupa hekima na maarifa ili upanue ufahamu wako ili uepuke hukumu
"....bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu; tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;..."
1 Kor 1:27-28 SUV
Wewe unamwona Mbarikiwa kama mnyonge au dhaifu na kichaa, it's ok....
Lakini Mungu hutumia wanyonge, dhaifu na waonekanao kwa macho ya kibinadamu kama vichaa ili awaaibishe wenye hekima ya kibinadamu, wenye nguvu za kibinadamu na pia naaam, avibatilishe vilivyoko..
Wakati wa kuaibika wajionao wana hekima na nguvu, ni huu umekwisha kuwadia...
Wakati wa Kila kitu kilichopo kubadilishwa, ni huu umekwishakuwadia..
Hili ndilo NENO LA BWANA...
Ni hakika na kweli tupu..Ni tatizo lkn naye ameishaonja machungu kwa alichokifanya, ukimya huwa hausaidii sanasana unakuongezea stress kwa uliyoyafanya na ambayo hukuyafanya, ni bora ukafunguka ukauachia moyo upumue.
1. Kwanza ili kulimaliza hili jambo, hatua ya kwanza ni kufutwa na kuutupilia mbali mkataba huu wa kitumwa, usiofaa na usio wa manufaa kwa nchi yetu ya Tanganyika..Ni kwamba waarabu wamepewa taarifa ila bado hawajakubaliana katka upande wao na yawezekana wakaja kivingine kwa kampuni nyingine, hivyo vitu kukamilika vinahitaji muda.
Hili swali bila shaka mwenye kulitolea jibu sahihi ni Kikwete mwenyewe au wale wajiitao "chawa wa mama"Kwa
Kwani yeye Kikwete alifuata nini kwa Wasabato il hali yeye ni kiongozi wa siasa?
Hata Mimi leo kupitia kwa mtu fulani (physically) kaniambia hili kuwa waarabu wameshika ndege yetu..Sina taarifa ya kushikiliwa ndege yetu ila kama hili lina ukweli huenda kuna kishika uchumba ambacho mwarabu ameshatanguliza, iwe ni kupitia kulambisha watu asali au msaada wa namna fulani wa kinchi ukiwa na masharti kwamba apewe bandari, patamu hapo.
Kishika uchumba kinadaiwa.Hata Mimi leo kupitia kwa mtu fulani (physically) kaniambia hili kuwa waarabu wameshika ndege yetu..
Lakini ktk akili ya kawaida, hili ni kama haliwezekani Kwa sababu sisi Tanganyika hatuna na hutukuwa na kesi yoyote katika mahakama yoyote huko duniani na Dubai au DP World..
Sasa hiyo ndege (mali ya serikali ya Tanzania) itakamatwa kwa amri ya nani kisheria?