Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Damn!! Mama la mama hiyo username, umefanya nimemkumbuka Dear-ex(Aaliyah).Yan ndo uhalisia rafikiyngu aliniomba nimtafutie msichana wa dukani mshahara elf 50 nikamtafutia bint jirani anasema ni Mkubwa anatak ambae anaweza kuamka akaosha vyombo ndipo aende dukani Yani ahudumie familia ndipo akauze duka
Nikajiuliiza ni WA dukani au msichana wa kazi za nyumbni
Yani mtu ahudumie wateja huko arudi et umwambie osha vyombo pika alaf akiwapiga watoto makonzi ulalamike 😀😀 anawatoto wanne inamaana siku akiwa yupo mwenyew dukani hapa home bint anakuwa msichana wa kazi Tena kwakweli sikutaka dhambi nikamwambia apambane na familiayake sio kutesa watoto wa watu
Hallelujah!!!