Mchanganuo tozo za LUKU kuanzia August 20-2021

Mchanganuo tozo za LUKU kuanzia August 20-2021

Hii ndio hoja kuu, kinachokusanywa kinatumikaje?
Hapa ndipo utashangaa yani! Mbilinge mbilinge zote hizi hakuna report hata moja kuwa makusanyo ya tozo kwa mwezi ni bei gani serikali imekusanya?😅

Na je zimetumikaje? Waweke mpango kazi kuwa sasa serikali inahitaji budget kiasi hiki kukamilisha mradi huu wa shule hizi kila kata ama kitongoji! Ili pesa zikiingia ziende direct huko
 
Hapa ndipo utashangaa yani! Mbilinge mbilinge zote hizi hakuna report hata moja kuwa makusanyo ya tozo kwa mwezi ni bei gani serikali imekusanya?😅

Na je zimetumikaje? Waweke mpango kazi kuwa sasa serikali inahitaji budget kiasi hiki kukamilisha mradi huu wa shule hizi kila kata ama kitongoji! Ili pesa zikiingia ziende direct huko

Hali ikiwa hivyo utaona kama watu hawatapiga kelele tozo iongezwe zaidi ili watu wapate maendeleo. Kinachouma sasa hivi ni hiyo kutupia pesa kwenye shimo lisilojaa.
 
Hajaona jengo moja wanakaa mpangaji zaidi ya mmoja? Na pia meter/ luku ina inaunganishwa kwenye nguzo? Wire mmoja unazigawia meter zote zilizipo kwenye jengo/ nyumba moja.
Kwa majengo ya kawaida Kitaratibu haitakiwi..wanafanya hivyo tanesco sababu ya kuongeza mauzo ya mita...
 
matumizi ya kodi zetu yataonekana wazi, tutaona mabadiliko ya barabara, maji, elimu, matundu ya vyooo, zahanati, dawa hospitalini, n.k

Unaongea kwa hisia au unamaanisha mkuu, miaka iliyopita kabla tozo hazijaanzishwa au hizi mambo za makato ya luku, hivyo vitu vilikua havifanyiki?

Tunachotaka ni accountability na transparent kwenye makusanyo na matumizi ya hizi pesa. Watu wako tayari kuchangia zaidi ya hiyo 1,000/- ikiwa wataelimishwa na kuhakikishiwa pesa zao zinavyotumika.
 
Hali ikiwa hivyo utaona kama watu hawatapiga kelele tozo iongezwe zaidi ili watu wapate maendeleo. Kinachouma sasa hivi ni hiyo kutupia pesa kwenye shimo lisilojaa.
Eeh zikifanya kazi tukaona lami kila mtaa kwa kasi ya ajabu tutazifurahia sio mnachangishwa hela maendeleo hamna ni wao tu wanabadilisha ma VX
 
Ndio maana watu wakapendekeza iitwe kodi ya luku/ umeme/ meter kwa sababu inatozwa kwa meter sio jengo.

Jengo lenye meter 2 litatozwa 2,000 kwa mwezi wakati kimsingi kodi ya jengo inatakiwa iwe 1,000/- kwa jengo.
Exactly, pia unaweza kuta katika ghorofa labda third floor ina ofisi nne na kila ofisi ina meter yake. Sijui utaratibu upoje hapo
 
Kwa majengo ya kawaida Kitaratibu haitakiwi..wanafanya hivyo tanesco sababu ya kuongeza mauzo ya mita...

Haitakiwi na nani? Tanesco ndio walitakiwa wazuie hicho kitu kama haitakiwi, kama wanafunga hizo meter zaidi ya moja kwa jengo inamaana inatakiwa.

Mathalan mtu amejenga jengo lenye wapangaji zaidi ya mmoja akawawekea meter kila mmpangaji, hiyo utasema haitakiwi?

Tukirudi kwenye maghorofa, unakuta kila ghorofa lina wapangaji tofauti na wana meter yao, hapo napo utasema haitakiwi?

Huu mtindo wangesema tu ni tozo la kizalendo kupitia meter, tungenyamaza tu wakaendelea kutukamua, hata tukipinga, wameshajua hatuwezi kufanya chochote. Ila wasituburuze kizembezembe.
 
Exactly, pia unaweza kuta katika ghorofa labda third floor ina ofisi nne na kila ofisi ina meter yake. Sijui utaratibu upoje hapo

Kisheria ni kosa kuiita hii ni kodi ya nyumba kwa sababu hakuna uthibitisho kwamba anaenunua umeme ni mwenye nyumba. Pili, sio kila jengo lina idadi sawa za meter japo mmiliki ni mmoja. Hii inaweza kupingwa kabisa kisheria ikafanyiwa marekebisho.

Hii inathibitisha kwamba wameshindwa kuwa na mfumo unaowatambua wamiliki wa majengo, kitendo cha kizembe na udhaifu wa hali ya juu.

Ni kama unavyoona wafanyakazi wanakatwa kodi stahiki kutoka kwenye mshahara wakati wafanya biashara wanakwepa au kulipa pungufu ya kinachotakiwa kulipwa.
 
Kuna mahali katiba imeruhusu watu kujilbikizia?
Katiba mpya ni chaka tu linatimiwa wala sio mwarobaini wa changamoto zilizopo
Kwn maana ya sheria Kinga kwa viongozi wa juu inamaana gani?.
Sio kuhalarisha ufisadi na wasifanywe kitu!
Kama kwel n waungwana, na kwamba wanatetea maslah mapana ya nchi yao, Kinga ya Nini??

Shtuka ndg, watu wanatumia upenyo mdogomdogo kufanya uchaf
 
Eeh zikifanya kazi tukaona lami kila mtaa kwa kasi ya ajabu tutazifurahia sio mnachangishwa hela maendeleo hamna ni wao tu wanabadilisha ma VX

Precisely! Watu tutaanza kuona fahari ya kulipa kodi.
 
soon kodi ya kichwa itarudi,fanyeni kazi wandugu mana tutakimbizana sana na migambo
 
Hii inadhihirisha kwa mwanamke ni kiumbe dhaifu katika uongozi
 
Back
Top Bottom