Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Chukua Kwa Madiba Mkwaju mkali unaleta bongo tembelea namba za GP- Gauteng Province au Mpumalhanga njiani gari wakiona namba wanajua mkaburu.Hii hata mchungaji wangu aliniambia, na akasema kama ukitaka anaweza mtuma mtu kama mie sitaki kwenda akileta hadi hapa.. hivi karibu pale steam car wash ya mlimani city kuna gari tatu zote kali kinyama plate gauteng zilikuja kulamba mvuke.. ilikuwa benz, jaguar ingine sikumbuki hata
Ukitaka gari za huko mcheki Isanga family anakuletea mpaka Jiji la A.Makalla uanze kuitoa Mafua kwenda Lake Zone, naamin ukipita Dodoma lazima uondoke hata na mbunge mmoja.