Mchelea mwana kulia, hulia yeye. Tulimsifu kwa nyimbo na mapambio mwanetu, leo tunalia

Mtu kaishavurunda balaa halafu vibaraka wake , viherehere wake , mataga , Lumumba buku saba wako bize twenti Foo awazi kusifia uendawazimu , yaani jitu linatenda kabla ya kufikiri , baadaye ndio linafikiri .
 
Rejea wakongo na Mobutu!! Walimfurahia na kumuona Mungu Ila walikuja kujuta badae. Ndo yanayotokea leo
 
Mtu hatari kwa nchi ya Tanzania ni jiwe na washirika wake, acha kuzunguka mbuyu,
 
Mwana wetu nasikia kafyeka hela ya magari kutoka 90mil mpaka 50m.
Na hakuna wa kusema fyoko fyoko
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…