mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kama hamna neno mbona mmefika EU😁😁 au mnataka uraiaAta akiamua kutu nyonga atu nyonge tu hatuna neno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hamna neno mbona mmefika EU😁😁 au mnataka uraiaAta akiamua kutu nyonga atu nyonge tu hatuna neno
NimezionaHapo amemnukuu mtu aliyeyasema maneno hayo!
Umeona hizo alama za kunukuu?
Raha tutakula mbele ya safari. We have to survive first and build our country"Hii sio awamu ya kura raha"
Mnasafiri?Raha tutakula mbele ya safari. We have to survive first and build our country
Rejea wakongo na Mobutu!! Walimfurahia na kumuona Mungu Ila walikuja kujuta badae. Ndo yanayotokea leoHuyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe.
Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu Sana kwamba yeye ni kidume.
Lakini Kuna ndugu walikuwa wakituasa na kutushauri kuwa huyu mtoto tunamuharibu, sisi hatukusikia, tukaendelea kupuliza filimbi na nyimbo mpya tukamtungia.
Sasa leo Vyombo vya Dola vimetukamata na kutuweka korokoroni ndipo sasa tunalia na kusaga meno.
Tunapiga magoti, tunaomba, Mungu ametuma ujumbe mfupi tu.
Mithali : Mlango 28
16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Tunasafiri. Siku moja kwenda siku nyingine. Safari ni hatuaMnasafiri?
Kwenye safari zenu tendeni haki na nyie mtatendewa haki.Tunasafiri. Siku moja kwenda siku nyingine. Safari ni hatua
Sema mwanangu tukiweka utani pembeni.
Jiwe ni fala sana aisee
Ngoja tuonyeshane makaliKama hamna neno mbona mmefika EU😁😁 au mnataka uraia
Kwenye safari zenu tendeni haki na nyie mtatendewa haki.
jingalao , johnthebaptist and the like mna somo lenu hukuRejea wakongo na Mobutu!! Walimfurahia na kumuona Mungu Ila walikuja kujuta badae. Ndo yanayotokea leo
Mtu hatari kwa nchi ya Tanzania ni jiwe na washirika wake, acha kuzunguka mbuyu,This really hurts na wazungu wako kimya mpaka wakaweka soko kuu la Ulaya Brussels. Cha kushangaza Lissu na Zitto hawajali kuhusu hili, wao wanajali matumbo yao tu na their bank accounts. Yaani unakwenda kushitaki nchi yako kwa shetani, si ujinga huu? Hawa watu ni hatari sana kwa taifa letu.
Mwana wetu nasikia kafyeka hela ya magari kutoka 90mil mpaka 50m.Huyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe.
Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu Sana kwamba yeye ni kidume.
Lakini Kuna ndugu walikuwa wakituasa na kutushauri kuwa huyu mtoto tunamuharibu, sisi hatukusikia, tukaendelea kupuliza filimbi na nyimbo mpya tukamtungia.
Sasa leo Vyombo vya Dola vimetukamata na kutuweka korokoroni ndipo sasa tunalia na kusaga meno.
Tunapiga magoti, tunaomba, Mungu ametuma ujumbe mfupi tu.
Mithali : Mlango 28
16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Watakoma. Huko ndio kuisoma namba kwenyeweMwana wetu nasikia kafyeka hela ya magari kutoka 90mil mpaka 50m.
Na hakuna wa kusema fyoko fyoko
This really hurts na wazungu wako kimya mpaka wakaweka soko kuu la Ulaya Brussels. Cha kushangaza Lissu na Zitto hawajali kuhusu hili, wao wanajali matumbo yao tu na their bank accounts. Yaani unakwenda kushitaki nchi yako kwa shetani, si ujinga huu? Hawa watu ni hatari sana kwa taifa letu.
Si kweli, watu hatari ni wapinzani watetea ushoga na ujingaMtu hatari kwa nchi ya Tanzania ni jiwe na washirika wake, acha kuzunguka mbuyu,
Mh. rais wetu aliuliza swali zuri sana kwa huyo mwanamama aliyekuwa anaomba kupanuliwa. Safi sana mkuu Bujibuji kwani nawe unataka kupanuliwa au?
Dini ya Kikristo dhehebu gani?J2 unakuta limepiga magoti kanisani na camera kibao, amenifanya niichukie dini ya kikristo sn yeye na Ndugai