Mchengerwa akabidhi Tsh. 50,000,000 kutoka mshahara wake kusaidia Wanarufiji waliokumbwa na mafuriko

Mchengerwa akabidhi Tsh. 50,000,000 kutoka mshahara wake kusaidia Wanarufiji waliokumbwa na mafuriko

Kwamba kwa nchi ambayo watu kupata milo mitatu ni shida na wengine hata maisha ya ukoo mzima hawawezi kupata hata robo ya pesa hio kwa mwaka mtumishi wao kulipwa 18 na ziada nyingine ya kuwa Uwaziri unaona kwamba huo sio Wizi kwa Walalahoi ? Ukizingatia nchi hio wala sio sustainable na bajeti yake inaendeshwa kwa mikopo wanayolipa hao hao Masikini....
Hayo unayoongea ni mambo mengine sasa. Cha muhimu elewa hizo hela anazo bila hata kuiba yaani kihalali.
 
Mbona Shabiby alisema Wabunge hawana hela!!
Mbunge wa Rufiji ndugu Mchengerwa akabidhi fedha za mshahara wake she. 50,000,000 kwa walioathorika na mafuriko. Mchengerwa kama kiongozi ametoa fedha hizo taslimu cash zilizofungwa katika mabunda ya noti kwa mkuu wa wilaya ya Rufiji mbele ya hadhira iliyokuwepo ..


View: https://m.youtube.com/watch?v=OKihl7VTaHg

Sambamba na tukio hilo la waziri Mchengerwa, UVCCM uongozi wa kitaifa umekabidhi misaada mingine
 
Hayo unayoongea ni mambo mengine sasa. Cha muhimu elewa hizo hela anazo bila hata kuiba yaani kihalali.
Kuna watu walikuwa wanamiliki Binadamu wenzao kihalali enzi za utumwa je hio haikuwa uzandiki na upuuzi sababu ni halali ?

Yaani kuwa na salary scale ya kiasi hicho kwa kupitia kodi za mlalahoi ni wizi na ujambazi kuanzia aliyepanga hio mishahara mpaka yule anayechukua
 
Mbunge anatoa 50M,mbele ya cameras !wazee wastaafu wa EAC,TAZARA bado wanalilia mafao yao ya utumishi zaidi ya 30yrs ya 10M
 

Mchengerwa akabidhi shs. 50,000,000 kutoka mshahara wake kusaidia Wana-Rufiji waliokumbwa na mafuriko​

Mbunge wa Rufiji ndugu Mchengerwa akabidhi fedha za mshahara wake she. 50,000,000 kwa walioathorika na mafuriko. Mchengerwa kama kiongozi ametoa fedha hizo taslimu cash zilizofungwa katika mabunda ya noti kwa mkuu wa wilaya ya Rufiji mbele ya hadhira iliyokuwepo ..


View: https://m.youtube.com/watch?v=OKihl7VTaHg

Sambamba na tukio hilo la waziri Mchengerwa, UVCCM uongozi wa kitaifa umekabidhi misaada mingine

Kwa mshahara wa Waziri huo ni sawa na mshahara wa miezi 36 baada ya makato. Je anakula nini na familia yake kwa kipindi hicho?

Hicho alichokokabidhi ni sehemu ya RUSHWA aliyolimbikiza, ndiyo kapunguza kidogo
 
Kuna watu walikuwa wanamiliki Binadamu wenzao kihalali enzi za utumwa je hio haikuwa uzandiki na upuuzi sababu ni halali ?

Yaani kuwa na salary scale ya kiasi hicho kwa kupitia kodi za mlalahoi ni wizi na ujambazi kuanzia aliyepanga hio mishahara mpaka yule anayechukua
Acha wivu wewe kenge. Huko migodini watu wanalipwa mishahara ya kufuru. Pambana upate hela acha kuonea wivu watu.
 
Kwann atoe mshahara wakati kuna mfuko wa maafa? Hiyo ni r

Mchengerwa akabidhi shs. 50,000,000 kutoka mshahara wake kusaidia Wana-Rufiji waliokumbwa na mafuriko​

Mbunge wa Rufiji ndugu Mchengerwa akabidhi fedha za mshahara wake she. 50,000,000 kwa walioathorika na mafuriko. Mchengerwa kama kiongozi ametoa fedha hizo taslimu cash zilizofungwa katika mabunda ya noti kwa mkuu wa wilaya ya Rufiji mbele ya hadhira iliyokuwepo.

View attachment 2960951

Sambamba na tukio hilo la waziri Mchengerwa, UVCCM uongozi wa kitaifa umekabidhi misaada mingine
Ushwa
 
Acha wivu wewe kenge. Huko migodini watu wanalipwa mishahara ya kufuru. Pambana upate hela acha kuonea wivu watu.
Aisee hivi unajua hata unachokiongea ? Migodi ni Ni fully state owned ? Migodini kunazalisha kiasi gani ? Unafananisha private owned company na mtumishi ambaye anajilipa kuliko mwenye mali ?

Na kwa akili hii tuna safari ndefu sana au haujui ni hizi tozo (pesa tunazokamuliwa) na bakuli linalotembezwa ndio linawagharamikia hawa watu.....; Unapigwa Tozo miaka na miaka unapata majanga sababu ya hao wanaokula jasho lako kutokuwa na foresight au kufanya kazi pro-actively alafu majanga yanatokea unaletewa tuvitu unaona la maana sana limefanyika....; kumbe ni yale yale ya wazee wa after the fact...
 
Pesa ya kustaafu mtumishi mmoja aliyefanya kazi miaka 35 imekabidhiwa huko rufiji na mtu mmoja kutoka kwenye kisehemu Cha mshahara wake🤔🤔🤔.
 
Aisee hivi unajua hata unachokiongea ? Migodi ni Ni fully state owned ? Migodini kunazalisha kiasi gani ? Unafananisha private owned company na mtumishi ambaye anajilipa kuliko mwenye mali ?

Na kwa akili hii tuna safari ndefu sana au haujui ni hizi tozo (pesa tunazokamuliwa) na bakuli linalotembezwa ndio linawagharamikia hawa watu.....; Unapigwa Tozo miaka na miaka unapata majanga sababu ya hao wanaokula jasho lako kutokuwa na foresight au kufanya kazi pro-actively alafu majanga yanatokea unaletewa tuvitu unaona la maana sana limefanyika....; kumbe ni yale yale ya wazee wa after the fact...
Wewe una wivu. Ungekuwa mbwa ningekutupia mfupa uache kelele.
 
Mbunge wa Jimbo la Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa ametimiza ahadi yake kutoa shilingi milioni 40 kwa wananchi wa Rufiji walioathirika na mafuriko kwa ajili ya kununulia mbegu za mazao yaliyosombwa na maji na pia ameongeza shilingi Millioni milioni 10 na hivyo amemkabidhi jumla ya shilingi milioni 50 Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Meja Edward Gowele.

Ikumbukwe kuwa Fedha hizi ni kutoka mfukoni mwa Mhe. Mchengerwa ikiwa ni sehemu ya mshahara wake kuwafuta machozi wananchi wa Rufiji kwa adha waliyopata kutokana na mafuriko.to

20240411_223441.jpg
20240411_173154.jpg
20240411_173311.jpg
 

Mchengerwa akabidhi shs. 50,000,000 kutoka mshahara wake kusaidia Wana-Rufiji waliokumbwa na mafuriko​

Mbunge wa Rufiji ndugu Mchengerwa akabidhi fedha za mshahara wake she. 50,000,000 kwa walioathorika na mafuriko. Mchengerwa kama kiongozi ametoa fedha hizo taslimu cash zilizofungwa katika mabunda ya noti kwa mkuu wa wilaya ya Rufiji mbele ya hadhira iliyokuwepo.

View attachment 2960951

Sambamba na tukio hilo la waziri Mchengerwa, UVCCM uongozi wa kitaifa umekabidhi misaada mingine
Mshahara wake ni bei gani ?
 
Mshahara wake ni bei gani ?

Wanasiasa wa Tanzania wamekuwa matajiri kupitilza kupita wanasiasa wa Kenya ambao huwezi kusikia amechangia mwanasiasa wa Kenya ametoa mfukoni Kshs. 8,000,000 achilia mbali Kshs. 1,000,000 kwenye harambee yoyote ile.


TOKA MAKTABA:

Wafanyabiashara matajiri wanaounga mkono Azimio, maafisa wakuu serikalini, makatibu wa Baraza la Mawaziri na wanasiasa waliochaguliwa wanatarajiwa kuhudhuria hafla hiyo siku ya Ijumaa ili kuchangisha pesa kwa ajili ya kampeni za urais za Raila zikiwa zimesalia wiki tatu tu kupiga kura. Nderitu Muriithi, anayeongoza bodi ya kampeni ya Raila, alisema timu ya Azimio inatarajia wachangiaji 10,000. 2. The Standard Gazeti la The Standard linaripoti kuwa Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi jana, Jumanne, Julai 12, alilazimika kufuta kikao maalum baada ya kichapishi cha serikali kukosa kuutangaza. Read more: Magazetini: Raila Odinga kufanya harambee ya kifahari kuchangisha KSh1bilioni


TOKA MAKTABA:
1712878267826.png



TOKA MAKTABA :

View: https://m.youtube.com/watch?v=vnepYlMJnuw
 

Mchengerwa akabidhi shs. 50,000,000 kutoka mshahara wake kusaidia Wana-Rufiji waliokumbwa na mafuriko​

Mbunge wa Rufiji ndugu Mchengerwa akabidhi fedha za mshahara wake she. 50,000,000 kwa walioathorika na mafuriko. Mchengerwa kama kiongozi ametoa fedha hizo taslimu cash zilizofungwa katika mabunda ya noti kwa mkuu wa wilaya ya Rufiji mbele ya hadhira iliyokuwepo.

View attachment 2960951

Sambamba na tukio hilo la waziri Mchengerwa, UVCCM uongozi wa kitaifa umekabidhi misaada mingine
Pesa zake mwenyewe hujui kwamba huyu ni mkwe!!! tuacheni vichekesho bana
 
Wewe una wivu. Ungekuwa mbwa ningekutupia mfupa uache kelele.
Shida yako unaangalia mambo nusu nusu sio kuangalia the whole picture...; Kuna msemo a flap of a butterfly on one part can cause Tsunami on another part of the world...

Serikali inaongozwa kwa Kodi; Walipa Kodi ndio hao Walalahoi ambao wanabana Mkanda na ni wagumu kulipa sababu hawaoni Value for Money Kwahio viongozi inabidi ku-lead by example.... Wewe huwezi kuwaambia watu watoe Kodi / Tozo ambayo ni zaidi ya nusu ya mapato yao alafu wanaona wewe unayewaambia mshahara wako mmoja tu unaweza kulisha Ukoo wao Mzima....

Kama mtaani ni rahisi kwanini usichukue mshahara mdogo na wewe ufanye miradi au kufungua genge la nyanya kama unavyowaambiwa wao wafanye
 
Shida yako unaangalia mambo nusu nusu sio kuangalia the whole picture...; Kuna msemo a flap of a butterfly on one part can cause Tsunami on another part of the world...

Serikali inaongozwa kwa Kodi; Walipa Kodi ndio hao Walalahoi ambao wanabana Mkanda na ni wagumu kulipa sababu hawaoni Value for Money Kwahio viongozi inabidi ku-lead by example.... Wewe huwezi kuwaambia watu watoe Kodi / Tozo ambayo ni zaidi ya nusu ya mapato yao alafu wanaona wewe unayewaambia mshahara wako mmoja tu unaweza kulisha Ukoo wao Mzima....

Kama mtaani ni rahisi kwanini usichukue mshahara mdogo na wewe ufanye miradi au kufungua genge la nyanya kama unavyowaambiwa wao wafanye
Wewe mpumbavu nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Hiyo mishahara ipo kisheria na sio kwamba waziri anajiamulia. Mwambie mbunge wako apeleke hoja bungeni ya kupunguza mishahara. Acha kuleta hisia zako zinazochangiwa na wivu wa kike.
 
Back
Top Bottom