Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndio tunataka mchiliku na mnanda bila kusahau deda, Rufiji Fm ina kiwasha. Ujio wa studio utasaidia kukuza ajira katika upande huo

Kila Kaya yenye wasomi hakuna aliyebakia nyumbani karibu wote wanachapa kazi, barabara zipo kwa kiwango cha juu, hosp huduma nzuri, elimu shule zipo za kutosha, maji ya uhakika

Mambo mengine yanaenda kutatuliwa Kadri muda unavyoenda

Karibuni Rufiji
Duuh Rufiji gani hiyo yenye Barabara ya kiwango cha juu?
 
Wakuu,

Hivi Rufiji kuna wasanii wengi eeeh kiasi kwamba demand ni kubwa sana? Wanarufiji mambo yote safi mpaka wameomba wajengewe studio🌚

===

View attachment 3175511

Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa ameahidi kuchangia Milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa Studio ya Muziki kwa ajili ya wasanii wa Rufiji, Studio hii itasimamiwa na Mwanamuziki mzawa Marioo.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4
Kama wewe si mwanarufiji tulia please acha kuwa Malaya wa majimbo 🤣
 
Vipaumbele vyenu ni kukata viuno mkuu? amkeni amkeni mkuu
Vijana wamepata ajira, vijana wameenda shule, hosp na vituo vya afya vya kutosha na sasa Kuna mpango wa kujenga hosp kubwa zaidi

IKWIRIRI inaenda kuwa mamlaka ya mji wa rufiji, barabara ya lam inajengwa ambayo ilipigiwa kelele miaka nenda rejea

Shule zipo za kutosha kuanzia English medium mpam kidato cha Sita za wavulana kwa wasichana

Viwanda vya kuchakata sukari nk

Veta ipo vijana wanapata elimu ya ufundi

Kituo cha radio watu wanapata taarifa muhimu kuhusu nchi yao pamoja na Burdani

Na mambo kedekede yanakuja

Karibu rufiji mkuu
 
Mama mkwe anashangilia Rufiji kuwa masikini, siamini kama Mbunge mwenye akili timamu anaweza kuwaza kupeleka spika katikati ya ufukara kama ule, bora angewatengenezea hata kiwanda cha matunda au mihogo isafirishwe kupelekwa waarabuni sababu yeye tayari ana connection ya mama mkwe
Halafu nani aajiriwe kwenye hivyo viwanda?Watatoka watu wa Kigoma,Tabora na Iringa kuajiriwa.Wewe waache wapate the real musique studio.😂😂
 
Vijana wamepata ajira, vijana wameenda shule, hosp na vituo vya afya vya kutosha na sasa Kuna mpango wa kujenga hosp kubwa zaidi

IKWIRIRI inaenda kuwa mamlaka ya mji wa rufiji, barabara ya lam inajengwa ambayo ilipigiwa kelele miaka nenda rejea

Shule zipo za kutosha kuanzia English medium mpam kidato cha Sita za wavulana kwa wasichana

Viwanda vya kuchakata sukari nk

Veta ipo vijana wanapata elimu ya ufundi

Kituo cha radio watu wanapata taarifa muhimu kuhusu nchi yao pamoja na Burdani

Na mambo kedekede yanakuja

Karibu rufiji mkuu
Mkuu hivi Rufiji wenyeji huwa ni kabila gani? nimesoma hapo Dar 2013-2016 sikuwahi kusikia mtu chuoni kwetu anatoka Rufiji
 
Back
Top Bottom