''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

Hilo ulichukua jumba bovu kabisa.

Kuna mmoja nilikutana nae barabarani nikasema demu si ndio huyu.

Tulichat siku mbili tatu ikafika kwenda kufahamiana zaidi. Kufika lodge mhudumu aliposema bei ya chumba elfu 50, demu aling'aka kama analipa yeye. Akaanza kusema si bora tungeenda lodge za elfu 10 halafu hiyo 40 unipe mimi.

Yani pale pale nilimshusha thamani. Sio sababu ya kutaka kuwa mchumi bali jinsi alivyopayuka mpaka wote kuoneka kituko.
 
Du nimejikuta nacheka. Mbona wanawake wengi wa Tanzania ndiyo wanavyoongea wanapohojiwa na hizi TV za mtaani? Na mdomo kama wanaukunja dizaini fulani hivi. Ni kama fashion hivi. Huyu mnamuonea bure tu. Mlitaka afanye siri wakati ana mtoto naye?
Angesubiri msiba uishe
 
Du nimejikuta nacheka. Mbona wanawake wengi wa Tanzania ndiyo wanavyoongea wanapohojiwa na hizi TV za mtaani? Na mdomo kama wanaukunja dizaini fulani hivi. Ni kama fashion hivi. Huyu mnamuonea bure tu. Mlitaka afanye siri wakati ana mtoto naye?
ungojevu ni muhimu,,ishu sio kufanya siri,angewafata ndugu baadae na huo utambulisho,,afu kwa mwanaume kuzaa nje ni kawaida sana saivi,hata mimi mwanaume wangu sitamzuia,,ila bi mdashi asiwe na papara.
 
kuna mmoja mhudumu aliongeza elfu 5, badala ya 20 akasema 25, demu aliwaka, we mhudumu hiki chumba huwa elfu 20 acha wizi
 
Hawa wasabato wa kiume wengi wao ni wazinzi balaa. ( Sijajua kuhusu wa kike)


Wanazingatia mnoo Ile siku ya jumamosi tu. Ila ikipita ni kama koki ya maji imefunguliwa. Uzinzi mwanzo mwisho.

Mungu awasaidie aisee.
Kuna hao na kuna mapadri aroooo wanaume wakimya wacha Mungu wasiokunywa pombe wanapenda k kama chakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…