evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Hakuna kitu kama hiko nakukatalia , mahakamani hakuna mtoto wa ndani ya ndoa na wa nje ya ndoa .Hakuna cha kupotezea alikomaa kesi ilikaa miaka 5 na miezi ila watoto wa ndani ya ndoa tukashinda.
Unadanganya