Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Sijui hali ilivyo kwa jamii ya kiyahudi ya wakati huu (coincidentally, inaonekana wameingia vitani tena, hivyo hali inaweza kujirudia kwa mtazamo wangu sasa, sawa sawa na karne yaliyopita) ila kwa context ya hapa kibongo-bongo, sioni maneno ya Isaya yakitimia kirahisi.
Mimi nayaona yashaanza kutimia kwa Tz bado,ila kupitia documentary niliyo iona NatGeo wakizingumzia umafia unaofanywa na Waghana kwenye online dating na ni swala la muda kufika huku Tz.
 
Mimi nayaona yashaanza kutimia kwa Tz bado,ila kupitia documentary niliyo iona NatGeo wakizingumzia umafia unaofanywa na Waghana kwenye online dating na ni swala la muda kufika huku Tz.
Inabidi nifanye tafiti zaidi. Naomba unitumie links za hizo documentaries hata inbox nikajifunze mambo.
Miaka kadhaa nyuma niliangalia documentary ya 'soko la ndoa la China'. Wao walikuwa na tatizo tofauti, kwamba kwa kila wanawake 10 China, kuna wanaume 14 hivyo kupata mwanamke wa kuoa China ikaja kuwa biashara ngumu.

Kwenye town square kuna kamba kama za kuanikia nguo vimening'inia maelfu ya vikaratasi ambavyo ni CV za vijana wa kiume. Kijana anaeleza umri wake, kazi yake, mshahara, nk. Wadada na wazazi wa mabiti wanapita na kuvianua na kusoma hizo CV, wakiona ya kijana anayewafaa wanampigia simu na mipango inawekwa. Wanaume wenye hali chini ya kawaida/duni wakapata shida sana. Hali hii ikatengeneza mpaka biashara haramu ila inayolipa inayosababisha mpaka kutekwa kwa wanawake wa Vietnam na Laos ili wakaozeshwe China.

Je tunaweza kusema bado ni suala simple tu la "supply and demand"? Wanaume wakipungua kwenye jamii, wanawake wanasota kupata waume, na vile vile wanawake wakipungua, wanaume wanasota kupata wake.
 
Inabidi nifanye tafiti zaidi. Naomba unitumie links za hizo documentaries hata inbox nikajifunze mambo.
Miaka kadhaa nyuma niliangalia documentary ya 'soko la ndoa la China'. Wao walikuwa na tatizo tofauti, kwamba kwa kila wanawake 10 China, kuna wanaume 14 hivyo kupata mwanamke wa kuoa China ikaja kuwa biashara ngumu.

Kwenye town square kuna kamba kama za kuanikia nguo vimening'inia maelfu ya vikaratasi ambavyo ni CV za vijana wa kiume. Kijana anaeleza umri wake, kazi yake, mshahara, nk. Wadada na wazazi wa mabiti wanapita na kuvianua na kusoma hizo CV, wakiona ya kijana anayewafaa wanampigia simu na mipango inawekwa. Wanaume wenye hali chini ya kawaida/duni wakapata shida sana. Hali hii ikatengeneza mpaka biashara haramu ila inayolipa inayosababisha mpaka kutekwa kwa wanawake wa Vietnam na Laos ili wakaozeshwe China.

Je tunaweza kusema bado ni suala simple tu la "supply and demand"? Wanaume wakipungua kwenye jamii, wanawake wanasota kupata waume, na vile vile wanawake wakipungua, wanaume wanasota kupata wake.
Hiki kipindi kilikuwa kinarushwa na NatGeo na hakipo Youtube. Documentary hizi zina andaliwa na Mariana mara nyingi wana cover matukio ya hatari kama usafirishaji haram wa watu,utengenezaji wa dola bandia, uuzaji na usafirishaji wa dawa za kulevya,prostitution nk.
 
Hiki kipindi kilikuwa kinarushwa na NatGeo na hakipo Youtube. Documentary hizi zina andaliwa na Mariana mara nyingi wana cover matukio ya hatari kama usafirishaji haram wa watu,utengenezaji wa dola bandia, uuzaji na usafirishaji wa dawa za kulevya,prostitution nk.
Thanks. Kinaitwaje. Labda kuna wajanja wa kuvisaka vipindi kama hivyo kwenye ma torrents..
 
Trafficked jina la kipindi ila hiyo episode nahisi inaitwa online dating kama sikosei.
Suala la trafficking nalo linasikitisha sana. Kama miaka 10 iliyopita nilisoma kutabu cha historia ya trafficking cha zamani sana mpaka title sikumbuki (the stolen ones, au the taken ones, something along those lines ila nimekitafuta online sijawai kukipata). Kilikuwa kinahusu system ya sex trafficking ya France na England karne ya 19 huko, sijui 1860s hivi, na ukisoma unaona mambo ya wakati huo hayana tofauti sana na ya wakati huu.
 
Asee mbona kama umepanic sana hadi unashindwa kujibu kwa utulivu maelezo mengi halafu unaishia kupuyanga tu hebu tulia andika taratibu bila jazba mzee

Sasa kama ndoa hazina umuhimu kwa mwanaume mnaoa kwa sababu gani mbona hadi sasa hujanijibu hapa bro is this question too difficult for you to answer

Okay kwahiyo unakubaliana na mimi kwamba wanawake wakijitunza automatically na wanaume watalazimika kujitunza ili waoe mabikira si ndio

Wewe maana ya neno fidia umeielewaje maana kwa muktadha nilioelezea neno linalotakiwa kukaa hapo ni hilo hilo fidia labda kama wewe una tafsiri yako nyingine

Wanawake wanataka ndoa kwa sababu hata wanaume nao wanataka ndoa ikitokea wanaume wakakataa ndoa basi wanawake nao wataacha kuzisaka ndoa
Mimi sijapanic ila nakuonea huruma unavyo zihirisha ujinga wako. Eti mahali ni fidia.....khaaa halafu ww ndio mzazi wa kesho...........

Sehemu gani nilipo kubaliana na ww.............. umesoma msingi wa comment yangu niliyo kuwekea quotation mara kwanza kabisa au hauku ielewa kuhusiana na kutumia akili na utashi........

Endelea kukaa na ujinga wako,unaruka ruka kama bisi,unazungumzia mifano siyo na uhalisia ,ishi kwenye uhalisia na ijue asili yako.

Nimekuuliza kuhusiana na wahindi mbona huku nijibu,yaani hoja unaanzisha mwenyewe ukiulizwa kupitia hizo hoja unaruka enaenda sehemu nyingine,huji elewi ww.

Swali lako la kipuuzi na kufikirika....
"nakuuliza tena kwahiyo na familia ya mke nayo ikianza kutoa mahari mko tayari watoto watumie majina ya koo zote mbili wa baba na wa mama, shida nini mbona hujibu maswali yangu unaishia kupinga kwa mihemko bila kutumia logic hadi napata mashaka na ulewa wako"

Nikaligeuza kenye reality ila hukunijibu,nikisema ni anze kuhesabu maswali niliyo kuuliza hamna hata moja ulio jibu.
"Wanawake waanze kutoa mahali kwa mujibu wa nani?Toka ktk hizo ndoto zenu za uwana harakati hazito kusaidia maana utakuwa unashindana na nature.(Zungumzia reality na nature ya uumbaji ya jinsia ya kike na ya kiume).Hivi India mahali wanatoa wanawake je mtoto anatumia majina ya koo zote mbili,MBONA WE KIAZI UNATAKA KUSHINDANA HADI NA REALITY."
Hapo ndipo utakapojua mfumo dume haukwepeki.

Hebu nitafutie sehemu nilisema ndoa sio muhimu kwa mwanaume.......?

Yaani najuta kupoteza mda wangu kureply comments zako,naweza kusema sijawahi kukutana na mwanamke limbukeni kama ww ktk JF,ukimbukeni ukiuendekeza sana utaonekana mjinga.
 
Kama hujakubaliana na mimi basi nijibu swali langu, ikitokea wanawake ndio wameanza sasa kutumia hizo akili na utashi na kuamua kujitunza je wanaume mtafanyaje, mbona hili ni swali jepesi sana

Call it what you will ila lengo kubwa la mahari ni mwanamke kuondoka kwao, na kuenda kwa mume kuanzisha familia ambayo itakuwa chini ya mume, sasa sijui wahindi wanahusiana vipi na waafrika

Wewe umeenda mbali mi nakupa mfano wa hapa hapa tanzania, kuna makabila ambayo ni matrilineal pamoja na kwamba wanaume ndio wanatoa mahari, mfano wamakua and co huo nao ni mfumo gani

Mimi maswali mengine sikujibu nayaacha makusudi kabisa kwa sababu naona huna hoja, unazunguka sana mimi sijibu mradi tu nijaze comment iwe gazeti, ila najibu yale ya muhimu na yanayohusiana na hoja tu

Sasa kama unajua kuwa ndoa ni muhimu kwa wote, kwanini hoja zako zimekaa katika namna ambayo inaonesha kama vile ndoa ni muhimu kwa mwanamke tu, au husomi hata kile wewe unachoandika
Maana nikupa mfano wa wahindi unarukaruka haya kwa kitumia maneno yao hapa ulimaanisha nini.
"nakuuliza tena kwahiyo na familia ya mke nayo ikianza kutoa mahari mko tayari watoto watumie majina ya koo zote mbili wa baba na wa mama, shida nini mbona hujibu maswali yangu unaishia kupinga kwa mihemko bila kutumia logic hadi napata mashaka na ulewa wako"

Hata lengo la mahali hulijui,yaani wewe mweupe kishenzi. Watu huunganisha undugu na familia kupitia mahali na familia ya mke huandaa kasherehe kadogo kuonyesha ila shukrani kwa kuwaheshismisha kupitia binti yao na huku upande wa wanaume wakitoa shukrani kuwa wazazi kwa kumtunza/kumlea vyema binti yao.

sasa watu wenye nia njema ya kuunganisha undugu wanaandaa mpaka sherehe tokea lini wakadaiana fidia.

Basi katafute hata maana ya neno fidia kwenye kamusi (Najua hapo utabishana napo).

Hujibu maswali sababu huna unacho kijua kazi yako kupayuka, ila wewe ni weupe kishenzi kwenye maswala ya kijamii na ndoa.

Nimekuuliza sehemu gani nimesema ndoa sio muhimu......? Bado unarukaruka,nipo makini kwa kila hoja niliyo iandika.
 
Sasa mbona umekomalia hilo neno fidia tu au ndio unatafuta pa kutokea baada ya kuona umebanwa na hoja, nimekuambia mahari ina sababu nyingi mojawapo ni hiyo ya shukurani kwa familia ya mke na nyingine ni fidia ya kumtoa mtoto wao akaendeleze ukoo mwingine, fidia kwa kiingereza ni compensation nenda basi katafute hata maana ya neno compensation siyo unatolea mifano ya wahindi kwenye tamaduni za waafrika

Pale uliponiuliza umuhimu wa ndoa kwa mwanaume ni upi ulimaanisha nini au wewe unataka kusema hujui umuhimu wa ndoa kwa mwanaume, siyo lazima useme direct kwamba ndoa haina umuhimu kwa wanaume ila hoja zako zinaonesha kama vile ndicho unachomaanisha maana usingeniuliza swali la kipuuzi kama lile, ndoa zina umuhimu kwa mwanamke sawa tu na ambavyo zina umuhimu kwa mwanaume hapo hata huo mfumo dume wenu hauwezi kuingilia kati wala kuzuia hilo

Hata mimi niko makini na ninachokiandika na si kwamba sina majibu ya maswali unayoniuliza ila nakuona huna hoja unarukaruka tu kama kuku aliyekatwa kichwa, nilikuuliza mfano wanawake wote wakiamua sasa kutumia akili na huo utashi uliosema na wakaanza kujitunza wanaume mtafanyaje hapo umekwepa hilo swali unasingizia ni mfano sijui siyo reality, kama mnajua hiyo kitu in reality haiwezekani mbona mnalazimisha wanawake wajitunze ilihali hizo bikira ni ninyi ndio mnaozitaka
Yaani ww mweupe ni shindwe kujibu hoja zako, endelea kukaa na ujinga wako,ambao kwa ulimbukeni wako ndio unauona usasa.

Unaongea vitu vya kufikirika kutoka kuchwani mwako unazani unaikimbia reality.....mara Mfano hivi.......Mfano vile......
 
Back
Top Bottom