Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Sasa unafananisha kulalamika kuhusu usawa na kulalamika kuhusu kujitunza ndio maana nilikuambia ulitoka nje ya hoja, sababu mimi hoja yangu ilikuwa wanaume ndio wanaolalamika kuhusu wanawake kujitunza wewe ukaja na habari za Sikukuu na 50/50, malalamiko ya wanawake ni usawa tu na siyo kuhusu wanaume kujitunza kitu ambacho ndio nilikuwa nakiongelea mimi tangu mwanzo

So unataka kusema kwamba ndoa haina umuhimu kwa mwanaume ila ina umuhimu kwa mwanamke okay labda na mimi nikuulize ndoa ina umuhimu gani kwa mwanamke, jinsia yenu huwa mnajisifu kwamba mnatumia akili na siyo mihemko lakini kwenye mambo mepesi kama haya mnatumia mihemko badala ya akili, kwa akili ya kawaida tu jambo ambalo ili litokee lazima lihusishe jinsia mbili linawezaje kuwa na umuhimu kwa jinsia moja tu

Kama ndoa haina umuhimu kwa mwanaume unaweza kunipa sababu zenye mashiko kwanini wanaume tena wengi tu bado wanaoa tena wengine wanaoa hadi uzeeni, hao wanawake unaoona wanataka ndoa ni kwa sababu wanajua bado zipo na bado wanaume wanaooa wapo sasa jaribuni wanaume wote kukataa ndoa muone kama wanawake nao wataendelea kutaka kuolewa, ukiona ndoa imekosa umuhimu kwa jinsia moja basi automatically itakosa umuhimu na kwa jinsia nyingine hili wala halihitaji ufikiri sana mfumo dume usiwafanye muwe blind kiasi cha kutumia mihemko na nguvu hata kwenye mambo yanayohitaji kutumia akili ya kawaida tu
Unaanzisha hoja hata kuzitetea hujui, ww si umesema wanawake kadili umri unavyoenda hamu ya ndoa inaisha? Mimi nimekupa na reference ya kipindi cha NatGeo hosted na Mariana na sio hisia zako ulizo ziandika.Kama unalikataa hili,sijajua imani yako ila kama mkristo Nabii Isaya alisha izungumza "itafika kipindi wanawake sita watampigania mwanaume mmoja.......",sijajua hili nalo utalipinga,labda kama huamini.

Mimi hoja ya sikukuu nimeejenga kukuonesha wakina nani wanalalamika,maana hoja ya malalamiko uliianzisha www (hivi unakumbuka unavyo viandika..... nijue na ongea na mtu wa namna gani).

Kuhusu kujitunza kwa mwanaume hilo sahau,sababu mwanaume ndiye anaye toa mahali(Africa)/propose(wazungu).So yeye ndiye mwenye final say na ndio maana nilikuambia "tumia akili na utashi wako kutunza usichana wako,sababu mwenye maamuzi juu ya mwili wako ni ww......" (hili nalo umesahau).Ukiataka mwanaume ajitunze labda utaratibu ubadilike na nyie mtoe mahali/propose. Mfume dume ulikuwepo na utaendelea kuwepo kwani hamna mbadala wa mfumo dume.

Hili swali nilikuuliza kupima ukomavu wa akili

"Kwani wewe kwa akili yao (nataka kukuona kama umepevuka)... ndoa ina faida gani kwa mwanaume..... na kwa nini mwanaume anatakiwa kuoa?"

Kweli wapo wanawake wanao hitaji ndoa,swali la msingi je wajibu wao kwenye ndoa wanaujua ni sawa na kutaka kitu ambacho hujui ndani kuna nini.

Ww unaonekana hata maana na wajibu wako kwenye ndoa huujui.
 
Unaanzisha hoja hata kuzitetea hujui, ww si umesema wanawake kadili umri unavyoenda hamu ya ndoa inaisha? Mimi nimekupa na reference ya kipindi cha NatGeo hosted na Mariana na sio hisia zako ulizo ziandika.Kama unalikataa hili,sijajua imani yako ila kama mkristo Nabii Isaya alisha izungumza "itafika kipindi wanawake sita watampigania mwanaume mmoja.......",sijajua hili nalo utalipinga,labda kama huamini.

Mimi hoja ya sikukuu nimeejenga kukuonesha wakina nani wanalalamika,maana hoja ya malalamiko uliianzisha www (hivi unakumbuka unavyo viandika..... nijue na ongea na mtu wa namna gani).

Kuhusu kujitunza kwa mwanaume hilo sahau,sababu mwanaume ndiye anaye toa mahali(Africa)/propose(wazungu).So yeye ndiye mwenye final say na ndio maana nilikuambia "tumia akili na utashi wako kutunza usichana wako,sababu mwenye maamuzi juu ya mwili wako ni ww......" (hili nalo umesahau).Ukiataka mwanaume ajitunze labda utaratibu ubadilike na nyie mtoe mahali/propose. Mfume dume ulikuwepo na utaendelea kuwepo kwani hamna mbadala wa mfumo dume.

Hili swali nilikuuliza kupima ukomavu wa akili

"Kwani wewe kwa akili yao (nataka kukuona kama umepevuka)... ndoa ina faida gani kwa mwanaume..... na kwa nini mwanaume anatakiwa kuoa?"

Kweli wapo wanawake wanao hitaji ndoa,swali la msingi je wajibu wao kwenye ndoa wanaujua ni sawa na kutaka kitu ambacho hujui ndani kuna nini.

Ww unaonekana hata maana na wajibu wako kwenye ndoa huujui.
Ndio nilisema kadiri miaka inavyozidi kuenda ndivyo wanawake wanavyozidi kupunguza desperation ya ndoa, kwa sababu wengi wameshaona kuwa wanaume wanakataa ndoa, hivyo nao taratibu wanaanza kujipanga namna ya kuishi bila kuolewa sijui unanielewa hapo

Mimi sijakataa kama mfumo dume upo ila nimesema usiwafanye muwe blind kiasi cha kutumia mihemko kwenye mambo yanayohitaji kutumia akili, na hapa ndio umedhihirisha jinsi gani hata wewe umeshindwa kutumia akili hata kwenye mambo madogo tu, ndoa haiwezi kuwa muhimu kwa mwanamke pekee hiyo theory haiwezekani kuwepo kwa sababu mwanamke haolewi na kiumbe mwingine yoyote zaidi ya huyo huyo mwanaume

Niliposema wanaume inabidi mjitunze sidhani kama ulielewa namaanisha nini, mimi nilimaanisha kama mnataka wanawake wajitunze basi nanyi mkubali kujitunza kwa maana endapo wanawake wote watajitunza, basi wanaume watakosa wanawake wa kutembea nao kabla ya ndoa hivyo nao automatically watalazimika kujitunza hadi ndoa sasa hapo napo mfumo dume unaingiaje

Ndio maana niliuliza mnaposema wanawake wajitunze je nanyi mko tayari kujitunza, kama hamko tayari basi wanawake nao hawataweza kujitunza kwa sababu huo uzinzi mnaotaka kuufanya mtaufanya na hao hao wanawake mnaotaka wajitunze, hauwezi kuyachafua mazingira halafu ukategemea yakupe hewa safi kubali either uyachafue yakupe hewa chafu au uyatunze yakupe hewa safi

Halafu kutoa mahari na kujitunza vina uhusiano gani kwahiyo wewe hapo ulipo hujui nini maana ya mahari na inatolewa kwa sababu gani, mahari ni fidia kwa familia ya mwanamke kwa sababu mwanamke anapoolewa familia yake inahesabu imelose while ya mwanaume imegain kwa sababu mke na watoto wataenda kutumia majina ya upande wa mwanaume, sasa unaposema na wanawake waanze kutoa mahari maana yake tuachane na utaratibu wa watoto kutumia majina ya upande wa baba na waanze kutumia na ya upande wa mama
 
Unaanzisha hoja hata kuzitetea hujui, ww si umesema wanawake kadili umri unavyoenda hamu ya ndoa inaisha? Mimi nimekupa na reference ya kipindi cha NatGeo hosted na Mariana na sio hisia zako ulizo ziandika.Kama unalikataa hili,sijajua imani yako ila kama mkristo Nabii Isaya alisha izungumza "itafika kipindi wanawake sita watampigania mwanaume mmoja.......",sijajua hili nalo utalipinga,labda kama huamini.

Mimi hoja ya sikukuu nimeejenga kukuonesha wakina nani wanalalamika,maana hoja ya malalamiko uliianzisha www (hivi unakumbuka unavyo viandika..... nijue na ongea na mtu wa namna gani).

Kuhusu kujitunza kwa mwanaume hilo sahau,sababu mwanaume ndiye anaye toa mahali(Africa)/propose(wazungu).So yeye ndiye mwenye final say na ndio maana nilikuambia "tumia akili na utashi wako kutunza usichana wako,sababu mwenye maamuzi juu ya mwili wako ni ww......" (hili nalo umesahau).Ukiataka mwanaume ajitunze labda utaratibu ubadilike na nyie mtoe mahali/propose. Mfume dume ulikuwepo na utaendelea kuwepo kwani hamna mbadala wa mfumo dume.

Hili swali nilikuuliza kupima ukomavu wa akili

"Kwani wewe kwa akili yao (nataka kukuona kama umepevuka)... ndoa ina faida gani kwa mwanaume..... na kwa nini mwanaume anatakiwa kuoa?"

Kweli wapo wanawake wanao hitaji ndoa,swali la msingi je wajibu wao kwenye ndoa wanaujua ni sawa na kutaka kitu ambacho hujui ndani kuna nini.

Ww unaonekana hata maana na wajibu wako kwenye ndoa huujui.

Isaya 4:1 "na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja..."

Huu naona ni mmoja wa mistari ambao wengi tumeutafsiri visivyo. Tunapenda sana kutumia mistari ya biblia kama prophecy ya wakati huu bila kuzingatia context ya wakati maandiko haya yameandikwa.

Niliona mahali katika bible study kuwa kipindi hicho wayahudi walikuwa vitani, ambapo wanaume wengi walienda vitani na kupoteza uhai. Hivyo kukaanza kuwa na uhaba wa wanaume, thus uhaba wa waowaji. Jamii ya kiyahudi wakati huo, ni heshima kwa mwanamke kuzaa, na pia kuzaa akiwa ndani ya ndoa, suala ambalo Isaya aliona itakuwa changamoto kwa wanawake wengi ukizingatia uhaba wa wanaume aliokuwa anauona unaenda kutokea kwa sababu ya vita.

Isaya alikuwa anatabiri tu kitu kilicho wazi kulingana na hali ya wakati huo, utabiri wa miaka michache ifuatayo, siyo karne kadhaa mbele.
 
Isaya 4:1 "na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja..."

Huu naona ni mmoja wa mistari ambao wengi tumeutafsiri visivyo. Tunapenda sana kutumia mistari ya biblia kama prophecy ya wakati huu bila kuzingatia context ya wakati maandiko haya yameandikwa.

Niliona mahali katika bible study kuwa kipindi hicho wayahudi walikuwa vitani, ambapo wanaume wengi walienda vitani na kupoteza uhai. Hivyo kukaanza kuwa na uhaba wa wanaume, thus uhaba wa waowaji. Jamii ya kiyahudi wakati huo, ni heshima kwa mwanamke kuzaa, na pia kuzaa akiwa ndani ya ndoa, suala ambalo Isaya aliona itakuwa changamoto kwa wanawake wengi ukizingatia uhaba wa wanaume aliokuwa anauona unaenda kutokea kwa sababu ya vita.

Isaya alikuwa anatabiri tu kitu kilicho wazi kulingana na hali ya wakati huo, utabiri wa miaka michache ifuatayo, siyo karne kadhaa mbele.
Labda uelewa wako ila hiyo hali sasa ipo na ishaanza kujizihirisha.

Halafu Isaya hajawahi kutabiri kitu kwa uwazi kama usemavyo, ingekuwa ivyo Wayahudi leo wangemsadiki Yesu ila mpaka sasa Wayahudi wanamkataa Yesu na kuna baadhi ya maeneo Wakristo wanabaguliwa na Wayahudi, kwani habari za ujio za Yesu ziliandikwa sana na Nabii Isaya ila katika lugha ya mafumbo.
 
Mchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake, binti mdogo Mwenye umri wa miaka 18.

Mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa.

Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi?

Duh!..
 
Mwamba kachukua mtoto mbich namba E kazaliwa 2005. Lakini utakuta kuna wanaume humu wanangangania single moms waliozaliwa 80s na 90s huko

Vp yule single mother wako kaahirisha kuzaa na ww tena au[emoji23][emoji23]
 
Labda uelewa wako ila hiyo hali sasa ipo na ishaanza kujizihirisha.

Halafu Isaya hajawahi kutabiri kitu kwa uwazi kama usemavyo, ingekuwa ivyo Wayahudi leo wangemsadiki Yesu ila mpaka sasa Wayahudi wanamkataa Yesu na kuna baadhi ya maeneo Wakristo wanabaguliwa na Wayahudi, kwani habari za ujio za Yesu ziliandikwa sana na Nabii Isaya ila katika lugha ya mafumbo.
Huenda ni uelewa wangu, ingawa siko pekee yangu. Naamini kuwa mambo mengi tunayachukua nje ya context ya wakati yalipoandikwa au kutamkwa. Kwangu mimi hili ni moja wapo. Kwangu mimi context huwa ni muhimu sana. Sikatai mitazamo ya wengine pia lakini.
 
Huenda ni uelewa wangu, ingawa siko pekee yangu. Naamini kuwa mambo mengi tunayachukua nje ya context ya wakati yalipoandikwa au kutamkwa. Kwangu mimi hili ni moja wapo. Kwangu mimi context huwa ni muhimu sana. Sikatai mitazamo ya wengine pia lakini.
Yaap hata mimi uelewa wako si ukatai ila neno nabii Isaya neno lake halikuwa wazi kama ingekuwa hivyo Wayahudi wangemwamini Yesu. Wayahudi Yesu wanamchukulia kama mtu maafufu na sio (Nabii,Kuhani,Mfalme,Mungu),kama tumchukuliavyo Wakristo.
 
Yaap hata mimi uelewa wako si ukatai ila neno nabii Isaya neno lake halikuwa wazi kama ingekuwa hivyo Wayahudi wangemwamini Yesu. Wayahudi Yesu wanamchukulia kama mtu maafufu na sio (Nabii,Kuhani,Mungu),kama tumchukuliavyo Wakristo.
Yes. Tuseme siyo kila alilotamka lilikuwa fumbo. Mengine yalikuwa mambo ya wazi tu ya kutumia akili ya kawaida. Kama hiyo effect ya wanaume kwenda vitani kufa na kuacha wanawake nyumbani...
 
Yes. Tuseme siyo kila alilotamka lilikuwa fumbo. Mengine yalikuwa mambo ya wazi tu ya kutumia akili ya kawaida. Kama hiyo effect ya wanaume kwenda vitani kufa na kuacha wanawake nyumbani...
Kwani kwa sasa ukitizama uhitaji akili sana, hali unaionaje?
 
Kwani kwa sasa ukitizama uhitaji akili sana, hali unaionaje?
Sijui hali ilivyo kwa jamii ya kiyahudi ya wakati huu (coincidentally, inaonekana wameingia vitani tena, hivyo hali inaweza kujirudia kwa mtazamo wangu sasa, sawa sawa na karne yaliyopita) ila kwa context ya hapa kibongo-bongo, sioni maneno ya Isaya yakitimia kirahisi.
 
Back
Top Bottom