Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Bado haijashuka thamani na ndio maana mpaka kesho mwanaume akioa anafanya vetting, wewe unazani vetting ni kwa ajili ya nini?

Watu watamshangaa sababu ya upekee wake,ila kushangaa kwao hakuondoi thamani yake. Hamna mwanaume anayependa kuoa mwanamke anaye gongwa gongwa hovyo au mwenye high body count kubwa,hata kama yy ni playboy.

Mkuu naelewa, ila hizi sio zama za wazee wetu walioishi kijiji kimoja hadi kutta tabia ya mtu. Si ajabu wewe unakutana na mtu Dar kumbe ni kahaba mstaafu wa Arusha na unaoa fresh tu.

Sijui nisemeje ila naelewa point yako ila uhalisia wa maisha ya sasa ni tofauti kiasi na tunapotoka
 
Wee bwana mbona huku nyuma ilikuwa inawezekana labda nyie wasomi mnieleweshe y now haiwezekani....wee sie boda boda tunavila vibinti vya 15/16 na vinakatikia kibamia mpaka mwenyewe unaomba poh.

Bwana wewe ukishajua kusex tayari una akili tosha kabisa. Kwani wee unaadhani ugumu wa maisha upo wapi? Sii tamaa zetu za kingese za kutaka nyumba vyumba vitano sijua iphone mara sijui kwenda dubai.

Yaani ndege aweze kulea watoto wake unataka kuniambia a 15/16 old has a brain thts inferior to a birds😲😲😲

Najua Sina usomi wa kukuzidi ila unajizima data tu, sasa nasemaje 😁😁😁 kikombe kile kile unachawapimia wazazi wa hao mabinti bhasi uje upimiwe na wewe ili ujue jinsi inavyouma kuvirubuni vibinti ambavyo hata havijakomaa kiakili ili utimize haja zako za kimwili.

Unaona alichopitia na anachopitia P funk kwa Paula japo yeye alimtorosha kajala kwao akiwa 16, bhasi ukifika stage yake, utameza maneno yako
 
Ha ha hapo penye long time
Ila inawezekana Mzee.
huwa inatokea sana mbona,,,,,, unakuta kuna katoto umekaacha Miaka kadhaa pengine unakaona kama kadogo Kako.....ila kenyewe kanakukubali hakasikii hili Wala Lile.....
mwanzoni unaweza chukulia poa tu ila muda unavyokwenda unaweza jikuta "hakuna mkate mgumu" from no weaaaa mnajikuta status imebadilka na maisha yanaendelea ....

Upo wap bint M..........aaaaah hakika nimekukumbuka sana .........tuliamini siku Moja ningekua kama sadio mane na wewe uwe kama mchumba wa sadio ila haikuwa hivyo.......muda uliamua yote ........ Ila popote ulipo lolote likupate........nimeshaoa kwa sasa mwingine Pambana na Hali Yako.
Wanasema hivi "vile vibinti ulivyokuwa unavikimbiza miaka kumi iliopita vikavae pichu, now unavikimbiza vikivukie."
 
As long as binti yupo mikono salama miaka 18 ni mtu mzima, wacha mzee apumzishwe kwa masaji maana kukimbizana viwanjani na vikumbo kila siku unahitaji kitulizo maridadiii.

Hongera Mane, walau huyo kwa umri huo bado ma bazazi hawajamzevezaa saaana - kongole kwa chombo, kula maisha.
 
Mkuu naelewa, ila hizi sio zama za wazee wetu walioishi kijiji kimoja hadi kutta tabia ya mtu. Si ajabu wewe unakutana na mtu Dar kumbe ni kahaba mstaafu wa Arusha na unaoa fresh tu.

Sijui nisemeje ila naelewa point yako ila uhalisia wa maisha ya sasa ni tofauti kiasi na tunapotoka
Labda kama humjui kabisa na haja kuonesha rangi yake halisi, ila wajanja huwaga wanajua na wakijua wanakaa pembeni na hamna mjanja anaye oa bila kufanya vetting hayupo.

Ndoa kwa mwanaume ni kitu very sensitive anaweza akarukaruka,akagonga hovyo malaya,ila inapofika kwenye selection ya ndoa huwaga tupo makini sana,kwani ukibugi utakuwa unashinda bar mpaka saa saa nne usiku,kazini unadamka saa kumi na mbili kamili asubuhi tena kwa wakristo ndio kabisaa maana huku chance moja.
 
Labda kama humjui kabisa na haja kuonesha rangi yake halisi, ila wajanja huwaga wanajua na wakijua wanakaa pembeni na hamna mjanja anaye oa bila kufanya vetting hayupo.

Ndoa kwa mwanaume ni kitu very sensitive anaweza akarukaruka,akagonga hovyo malaya,ila inapofika kwenye selection ya ndoa huwaga tupo makini sana,kwani ukibugi utakuwa unashinda bar mpaka saa mpaka saa nne usiku,kazini unadamka saa kumi na mbili kamili tena kwa wakristo ndio kabisaa maana huku chance moja.
😁😁😁 true mkuu

Japo kuna waliooa mabikra au waliotafutiwa mabinti waliotulia kutoka vijijini au familia zilizotulia lakini mwisho wa siku nao wanateseka.

Hakuna aliye fundi au mjanja zaidi ya kumuomba Mungu pia
 
Labda kama humjui kabisa na haja kuonesha rangi yake halisi, ila wajanja huwaga wanajua na wakijua wanakaa pembeni na hamna mjanja anaye oa bila kufanya vetting hayupo.

Ndoa kwa mwanaume ni kitu very sensitive anaweza akarukaruka,akagonga hovyo malaya,ila inapofika kwenye selection ya ndoa huwaga tupo makini sana,kwani ukibugi utakuwa unashinda bar mpaka saa saa nne usiku,kazini unadamka saa kumi na mbili kamili asubuhi tena kwa wakristo ndio kabisaa maana huku chance moja.
VETTING.

hapa huwa tunatuliza sana kichwa.
 
😁😁😁 true mkuu

Japo kuna waliooa mabikra au waliotafutiwa mabinti waliotulia kutoka vijijini au familia zilizotulia lakini mwisho wa siku nao wanateseka.

Hakuna aliye fundi au mjanja zaidi ya kumuomba Mungu pia
Ndio wapo mabikra wanakengeuka ila probability ya bikra kukengeuka ni ndogo approximately equal to zero,ila mwenye high body count probability ya kukengeuka ni kubwa, so watu wana Calculate risk ya kuishi nayo (wanachagua msalaba mwepesi wa kuubeba).
 
Kwani hapa bongo umri wa kuolewa ni miaka mimngapi ili mshangae huyo wa 18 kibongo bongo wazazi wakiridhia 15 unachukua mke ndio sasa wanampango wa kubadili sheria tena wanapiga kura kuisapoti lakini jamii bado haiwezi kubali kwenda 18 maana watoto kibao wako mtaani hawataki kusoma mzazi uwezo hana unadhani akiletewa mahari anaikataa.... Jamaa kafanya jambo zuri tu maana kwa nchi yake mtoto akiwa na 16 anaolewa vizuri tu
 
Sasa mbona kama ulichoandika kipo nje ya hoja mambo ya kulilia sikukuu na kulalamika kuhusu mapenzi vinahusiana nini, labda nikuulize wanaoongoza kukataa ndoa sasa hivi ni kina nani na kwanini, na je sababu na lengo la kukataa hizo ndoa ni nini
"siku hizi kote mitandaoni wanaoongoza kulalamika kuhusu mahusiano ni wanaume, " (Hiki itakuwa uliandikiwa nini...)

Kipo nje ya mtizamo wako sababu umeamua mwenyewe kukaza kichwa (sikulaumu).Wewe si umesema wanaume wanaongoza kulalamika nimekupa mfano wa men day na women day kelele nyingi za malalamiko zina sikika siku gani? au na hili unaamua kupinga.

Wewe sasa ndiye unaenda OP sijazungumiza ndoa ila nitakujibu.

Hamna mwanaume anaye kataa ndoa ukiona hivyo hajapata mtu sahihi,kwani ndoa kwa mwanaume ni msalaba anahitaji mda ili aweze kupata mtu sahihi ndipo aoe.

Unaonekana unapenda ndoa,ila kwa jinsi nikitizamaga comment zako humu JF wewe huwezi kuishi ndoa.
 
Hizo kelele za wanawake mara nyingi ukiangalia ni kuhusu usawa na mgawanyo wa majukumu na si kitu kingine, lakini kelele za wanaume ni kuhusu kila kitu kinachohusiana na mahusiano na ndoa kwa ujumla hasa kwenye suala la wanawake kujitunza, kiufupi wanaume siku hizi ndio wanaoongoza kwa kulalamika

Wapo wanaume wengi sana wanaokataa ndoa tena siyo kwa maneno tu bali hata kwa vitendo, sasa kama mnazihitaji hizo ndoa na mnahitaji kupata wanawake sahihi kwa ajili ya kuoa, kwanini msianze ninyi wenyewe kuchukua hatua ya kujitunza na kuacha kutongoza wanawake ambao hamna malengo ya kuwaoa

Ni kwa misingi ipi unaona ndoa ni msalaba kwa mwanaume tu na si kwa mwanamke pia hebu nijibu hapo, aliyekuambia mimi nahitaji ndoa ni nani siku hizi wanawake desperation ya ndoa inaisha taratibu kadiri miaka inavyozidi kuenda, wanawake wengi wanaona heri kukaa bila ndoa au kuwa single mothers kuliko kuwa na wanaume ambao ni too demanding na tena ni mizigo
Sio kosa lako brain yako inaonekana ipo damage na polluted na hizi harakati zenu, sasa kuhusu kulalamika ulikataa nini na sasa unakubali nini wakati uliandika ww mwenyewe.

Kama hujui siku hizi wanaume wamewaacha na ujuaji wenu muendelee nao na hatuongei siku hizi,ukijitia kiburi tunakuwa jeuri.

Swala ndoa umelileta ww ndio maana ninekuuliza unahitaji ndoa?

Kwani wewe kwa akili yao (nataka kukuona kama umepevuka)... ndoa ina faida gani kwa mwanaume..... na kwa nini mwanaume anatakiwa kuoa?

Hiyo research yako ya wanawake desperation ya ndoa inaisha umri ukienda unaitolea wapi?

Natamani kama ungekuwa umekitizama kipindi kimoja kipo NatGeo cha Mariana halafu ungeona wanawake wakizungu walivyo na hamu ya ndoa ,pamoja na hela/elimu zao ila wanatapeliwa sana na Waghana,watu wanawapiga mpaka 10-50K,wewe sijui unaongea nini............... Nina real example ya wanawake wawili ninao wajua wote Mainjinia mmoja yupo kwenye mafuta,mwengine IT 30+ wote wanatafuta mume,wana hela/elimu na vichwa kweli kweli.
 
Back
Top Bottom